Habari wanajukwaa
Kwenye kikao cha baharia kilichofanyika hapo nyuma kidogo kimeona kuna shida kwa wanaume wa sasa wa JF Jukwaa la MMU, kuwa wanalalamika sana kwenye suala la mapenzi na kuchakata nyapu za wadada uko mtaani na hata humu JF.
Imeonekana wanaume wa sasa wa JF kwenye jukwaa pendwa...
nikweli macho yanaifadhi taswira ya mtuu vizuri
naona wadau wengi wanapinga wanataka kuweka hiikitu kweny mambo imani imani,
hii njia yakumuona muuaji kwenye macho ya mtu alie kufa imekaa ki sayansi zaidi, macho yetu ni kama kioo yana reflect image, ata hapo ulipo unavyokodoa kweny screen...
Tukisema akili kama akili, kila mtu anazaliwa nazo utofauti wetu upo kwenye kiwango cha akili kati ya mtu moja na mwingine
Kuna wale wamezaliwa na kiwango kikubwa cha akili ata makuzi yake hakuitaji changamoto nyingi sana kuboost akili zao, yani wao wakifanya kitu tu imoo, kama yupo shule...
Mungu hakuongopa kusuhu kufa, kabla ya adam kula mti wa kati Mungu aliwaambia hawatakufa wataishi milele hii ina maana kama adam angemtii Mungu basi mpaka saivi tungekuwa nae.
kwaiyo Mungu hakuongea uongo aliwaambia mkila mtakufa na kweli adamu alikufa na eva nae alikufa na wewe mkuu utakufa...
Mungu hakuongopa kusuhu kufa, kabla ya adam kula mti wa kati Mungu aliwaambia hawatakufa wataishi milele hii ina maana kama adam angemtii Mungu basi mpaka saivi tungekuwa nae.
kwaiyo Mungu hakuongea uongo aliwaambia mkila mtakufa na kweli adamu alikufa na eva nae alikufa na wewe mkuu utakufa...
Mleta mada haujatoa majibu yoyote zaidi ya kupiga story za mfalme nani sijui huyo!
Mudy alizingua tu kwenye maandiko kadhaa lakini kwa mtu wa dini inakuwa vigumu sana kukubaliana na ukweli.
Hahah! Kiranga usitupoteze kwenye uzi wetu wa bible kuhusu uwepo wa Mungu subiri wadau wajipange tena tena watakufungulia nyuzi kukubanani juu ya uwepo wa Mungu
Kwasasa acha tuijadili hii biblia tu
Mkuu haya unayotaka kuleta ni amhubiri juu yaquran yako tukufu! Unatoka nje ya mada ingawa hata iyo quran yako ina mapungufu mengi tu amabayo wewe ujayajua lakini atupo hapa kuelezea kipi kitabu sahihi na kipi sio
Rudi kwenye reli mkuu
Unajua tatizo likuja kwa hawa watu wafia dini na imani zao hawataki kuhoji chochote kwenye hivi vitabu vya dini, wanaamini ukianza kuhoji jambo kutoka kwenye bible au quran basi utakua sio muamini au unadhiaki,
Jamani wakistro na waislamu tujiwekee tabia ya kuuliza au ku reason kitu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.