Tunawahesabia na walioshushwa na tren na waliokodishiwa magari na wale waliopakowa kwenye mafuso kama ng'ombe 😂 😂 tukitoa hao Samia hata Heche tu hamuwezi
Hahahaha Mungu atusamehe sote kwake ni Sawa Ila kuna demu wa hivyo nilimtamni nikamtokea akanijibu Kwa nyodo your not my type mwamba nikapoa sikutia neno mwisho wa siku nikakutana nae yupo clinic na type yake nilijikuta natamni kuchka Ila nikakumbuka kabla hujafa hujaumbika nikavunga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.