Recent content by Kitchener

  1. Kitchener

    Umoja Wa Makanisa Ya Kipentekoste(CPCT) Tabora Yakana Tuhuma "Mapenzi Ya Jinsia Moja"

    ajabu yake ni kwamba, hakuna mpira wenye upinde wala kabrasha, hakuna nembo ya ushoga, RC alikurupuka akachafua image ya watu bure, na wanasema leo ameruhusu mkutano uendelee. aibu kwake, rc ni malaya na mpenda kiki hadi imefichuka kuzaa na hakimu msaidizi wa jaji ambaye naye wanasema ana kiburi...
  2. Kitchener

    RC Chacha asitisha mkutano wa injili wenye viashiria vya mapenzi ya jinsia moja Tabora

    na uzee huo aache kuchafua watu akalee kitoto kidogo alichozaa na yule hakimu msaidizi wa Jaji. hakuna mpenda kiki asiye malaya.
  3. Kitchener

    Mnaongea na Samia mwambieni Watanzania wanajua yote

    binafsi kama wakigawana wakapeana wao kwa wao ila kazi ikafanyika na maboresho yakafanyika, sina shida, cha muhimu hela waipate kwa kuifanyia kazi kuliko angekula mzungu. hata abdul akitaka kubeba tenda zote ila kilichotakiwa kujengwa kijengwe, sina shida. tatizo ni pale wataweka hela mfukono...
  4. Kitchener

    Tetesi: Kama ulinunua kiwanja Dodoma jiji, soma hapa utanishukuru

    kuna jamaa alinunua kwa wazawa, akabaki na karatasi asifuatilie hati, juzi kakuta watu wanamwaga mchanga na tofali, kuuliza kwanini wanataka kujenga kiwanja chake, jamaa kaja na hati kabisa amesaidiwa na maafisa ardhi, kwenda jiji wanamwambia ulitelekeza, ulitakiwa kuendeleza, tumempa mtu...
  5. Kitchener

    Mwandambo, Nachoka mimi baba yenu: Kweli Kachoka

    Mungu asaidie wasiwe walim........ na wakamchukua video.
  6. Kitchener

    Tetesi: Kama ulinunua kiwanja Dodoma jiji, soma hapa utanishukuru

    Jiji la Dodoma wametangaza yeyote aliyegawiwa kiwanja, ndani ya muda halisi wa kuendeleza, usipoendeleza, wameanzisha kampeni ya kunyang'anya viwanja hivyo. Wameweka tangazo tayai. Kuna watu wawili nawafahamu, walikuwa na karatasi za uhakiki na mikataba kuuziwa na wazawa, kilichotokea maafisa...
  7. Kitchener

    DSM kujengwa mfumo wa trams? zingatieni hili

    kwa hiyo akili yako yoote ndio imeishia hapo?
  8. Kitchener

    Kuna watu wanapigania mfumo kristo kwa kigezo cha utanganyika tuwakatae

    nadhani tunahitaji kuendelea kuungana na zanzibar, tumeshakuwa pamoja miaka mingi, kutengana kutaumiza mioyo yetu. hata ivyo, kuna maeneo mengi sana ya kurekebisha muungano, au la, utavunjika bila hata maandamano, maeneo hayo ni: 1. umiliki wa ardhi: zanzibar wanamiliki bongo ila bongo marufuku...
  9. Kitchener

    Boda aliyegongwa na Mwendokasi kulipwa Milion 88 kama fidia

    hivi kwa ajali hiyo hapo mwenye kosa nani kati ya boda na mwendokasi. naona kama boda alivamia barabara ya mwendokasi.
  10. Kitchener

    DSM kujengwa mfumo wa trams? zingatieni hili

    tumefanikiwa kujenga "miundombinu ya mwendokasi", achana na uendeshaji hata uwe mbovu cha muhimu ni miundombini, manake akija mwekezaji mwenye akili as long as miundombinu ipo, jambo ni rahisi kuliendesha. miundombinu ya kenya wanahangaika BRT kwao ni ngumu hadi leo.
  11. Kitchener

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    udini hana. ila yawezekana ni rahisi kupotoshwa na wajanja, na hiyo ndio imemgarimu hadi kufikia hapa. kwa vipimo vya udini, kwa kweli ukisema ni mdini utakua unatenda dhambi. mimi ni mkristo na sijaona kama nimebaguliwa au harufu ya udini sijaiona. hata aliyemshauri issue ya gwajima...
  12. Kitchener

    DSM kujengwa mfumo wa trams? zingatieni hili

    nchi kama za ulaya zilianza hii miaka mingi sana, kwa waliofika Lisbon, SPAIN au italia, zipo kongwe mno. ni kweli, walianza na mipango mingi, ila hata sisi kwa dsm ilivyo, tunaweza. mbona mwendokasi ilifanikiwa?
  13. Kitchener

    DSM kujengwa mfumo wa trams? zingatieni hili

    Tafadhali, tumesikia tangazo kwamba mnataka kujenga mfumo wa reli kuzunguka DSM nzima, binafsi sijaelewa wanajenga mitaruma ya mireli ili tuwe na tram zinazotembea kwenye makokoto katikati ya mji au wanajenga mfumo wa trams kama nchi zingine. Naomba kutoa tahadhari hii manake bongo kwa upigaji...
  14. Kitchener

    Sijawahi kwenda ugenini/safari yeyote halafu nitoke sijalala na mwanamke.

    unaonekana shoga, ni sawa na anti....., wajinga kabisa nyie.
Back
Top Bottom