kitu pekee huyu mzee atakuambia ni udini uliokubuhu, ni moja ya wazee wanaozeeka na watakufa na ujinga wao. alishawahi kuwaita wakristo makafiri, na alisapoti sana fujo zilizopelekea mauaji ya mwembechai. ni wa kumpuuza. kichwa hakina ubongo icho.
kutekwa polepole, mauaji october 29 na kupigwa risasi tundu lisu, aliyeshauri hayo yafanyike aliwapoteza sana na hastahili hata kushauri balozi wa nyumba kumi. ni msalaba watakaoubeba vizazi vyote na watoto wao. It was so unnecessary.
wewe ni mjinga sana na inawezekana haujaenda shule. nikuulize, mwinyi si rais wa zanzibar? mwulize, mipaka ya zanzibar anayoitawala ni ipi? Mwinyi anatawala unguja, pemba na visiwa vingine tu, na huko ndiko kwenye mikoa distinct kabisa anayotawala mwinyi. kwengine kote ni Tanganyika. mipaka ya...
umeuliza swali la kitoto sana. Kwani kwa sasa, Rais Mwinyi wa zanzibar, maeneo anayoyatawala ni yepi na yepi? leo hii ukisema kuna zanzibar, yenye mamlaka, yenye mikoa n.k na wilaya, ni maeneo yepi mwinyi anayahesabu ni yake ambayo sio ya muungano?mbona ni rahisi sana, kweli hauna akili ya...
mwigulu juzi kasema rais samia kaagiza kufuta sheria ya kutaifisha mali; wanawaandaa watanzania waifute ili watoto wao na wao wakitoka madarakani wasiporwe mali. wamejifunza kwa rais rungu wa zambia, mtoto wake alikuwa na majumba rundo maeneo kama ya masaki ya kule kwao, wakamwambia aeleze...
wakiichezea, itawalinda wao hadi uje utunge sheria nyingine wao haitawahusu. unajua ukifanya kosa fulani wakati sheria haijatungwa au ilifutwa, hukamatiki. ndio mchezo wanaoufanya na wanawasogeza watanzania polepole kwenye kibra, na tangu lini rais akawa na mamlaka kufuta sheria? sheria...
nawahakikishia, huu ni mpango wa kutunga au kufuta sheria itakayowalinda mafisadi waliokwapua mali; wamehaha wamejifunza kwa yaliyotokea kwa Lungu zambia, watoto wao watafirigiswa tu wao wakifa, hata wakipeleka nje miamala ya kibenki imeacha alama.
chombo cha nje ndio kinaweza kuchunguza, sio chombo kinachoundwa na mtuhumiwa mwenyewe. pia, ina maana watatumia ile taarifa ya chande kutafuta jinai? wanamshauri vibaya sana mama.
Dunia yote, ukifanya uhalifu, au kutumia gari au kitendea kazi kufanya uhalifu, ili kukomesha tabia za kihalifu, matunda ya uhalifu au kitendea kazi huwa vinataifishwa.
Jiulize, kwa nini PM amekuja leo ati ametumwa kuwa sheria ya kutaifisha mali ifutwe?
Awamu hii wameiba sana, wanaogopa wao au...
ajabu yake ni kwamba, hakuna mpira wenye upinde wala kabrasha, hakuna nembo ya ushoga, RC alikurupuka akachafua image ya watu bure, na wanasema leo ameruhusu mkutano uendelee. aibu kwake, rc ni malaya na mpenda kiki hadi imefichuka kuzaa na hakimu msaidizi wa jaji ambaye naye wanasema ana kiburi...
binafsi kama wakigawana wakapeana wao kwa wao ila kazi ikafanyika na maboresho yakafanyika, sina shida, cha muhimu hela waipate kwa kuifanyia kazi kuliko angekula mzungu. hata abdul akitaka kubeba tenda zote ila kilichotakiwa kujengwa kijengwe, sina shida. tatizo ni pale wataweka hela mfukono...
kuna jamaa alinunua kwa wazawa, akabaki na karatasi asifuatilie hati, juzi kakuta watu wanamwaga mchanga na tofali, kuuliza kwanini wanataka kujenga kiwanja chake, jamaa kaja na hati kabisa amesaidiwa na maafisa ardhi, kwenda jiji wanamwambia ulitelekeza, ulitakiwa kuendeleza, tumempa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.