ajabu yake ni kwamba, hakuna mpira wenye upinde wala kabrasha, hakuna nembo ya ushoga, RC alikurupuka akachafua image ya watu bure, na wanasema leo ameruhusu mkutano uendelee. aibu kwake, rc ni malaya na mpenda kiki hadi imefichuka kuzaa na hakimu msaidizi wa jaji ambaye naye wanasema ana kiburi...
binafsi kama wakigawana wakapeana wao kwa wao ila kazi ikafanyika na maboresho yakafanyika, sina shida, cha muhimu hela waipate kwa kuifanyia kazi kuliko angekula mzungu. hata abdul akitaka kubeba tenda zote ila kilichotakiwa kujengwa kijengwe, sina shida. tatizo ni pale wataweka hela mfukono...
kuna jamaa alinunua kwa wazawa, akabaki na karatasi asifuatilie hati, juzi kakuta watu wanamwaga mchanga na tofali, kuuliza kwanini wanataka kujenga kiwanja chake, jamaa kaja na hati kabisa amesaidiwa na maafisa ardhi, kwenda jiji wanamwambia ulitelekeza, ulitakiwa kuendeleza, tumempa mtu...
Jiji la Dodoma wametangaza yeyote aliyegawiwa kiwanja, ndani ya muda halisi wa kuendeleza, usipoendeleza, wameanzisha kampeni ya kunyang'anya viwanja hivyo.
Wameweka tangazo tayai. Kuna watu wawili nawafahamu, walikuwa na karatasi za uhakiki na mikataba kuuziwa na wazawa, kilichotokea maafisa...
nadhani tunahitaji kuendelea kuungana na zanzibar, tumeshakuwa pamoja miaka mingi, kutengana kutaumiza mioyo yetu. hata ivyo, kuna maeneo mengi sana ya kurekebisha muungano, au la, utavunjika bila hata maandamano, maeneo hayo ni:
1. umiliki wa ardhi: zanzibar wanamiliki bongo ila bongo marufuku...
tumefanikiwa kujenga "miundombinu ya mwendokasi", achana na uendeshaji hata uwe mbovu cha muhimu ni miundombini, manake akija mwekezaji mwenye akili as long as miundombinu ipo, jambo ni rahisi kuliendesha. miundombinu ya kenya wanahangaika BRT kwao ni ngumu hadi leo.
udini hana. ila yawezekana ni rahisi kupotoshwa na wajanja, na hiyo ndio imemgarimu hadi kufikia hapa. kwa vipimo vya udini, kwa kweli ukisema ni mdini utakua unatenda dhambi. mimi ni mkristo na sijaona kama nimebaguliwa au harufu ya udini sijaiona. hata aliyemshauri issue ya gwajima...
nchi kama za ulaya zilianza hii miaka mingi sana, kwa waliofika Lisbon, SPAIN au italia, zipo kongwe mno. ni kweli, walianza na mipango mingi, ila hata sisi kwa dsm ilivyo, tunaweza. mbona mwendokasi ilifanikiwa?
Tafadhali, tumesikia tangazo kwamba mnataka kujenga mfumo wa reli kuzunguka DSM nzima, binafsi sijaelewa wanajenga mitaruma ya mireli ili tuwe na tram zinazotembea kwenye makokoto katikati ya mji au wanajenga mfumo wa trams kama nchi zingine.
Naomba kutoa tahadhari hii manake bongo kwa upigaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.