mwigulu juzi kasema rais samia kaagiza kufuta sheria ya kutaifisha mali; wanawaandaa watanzania waifute ili watoto wao na wao wakitoka madarakani wasiporwe mali. wamejifunza kwa rais rungu wa zambia, mtoto wake alikuwa na majumba rundo maeneo kama ya masaki ya kule kwao, wakamwambia aeleze...
wakiichezea, itawalinda wao hadi uje utunge sheria nyingine wao haitawahusu. unajua ukifanya kosa fulani wakati sheria haijatungwa au ilifutwa, hukamatiki. ndio mchezo wanaoufanya na wanawasogeza watanzania polepole kwenye kibra, na tangu lini rais akawa na mamlaka kufuta sheria? sheria...
nawahakikishia, huu ni mpango wa kutunga au kufuta sheria itakayowalinda mafisadi waliokwapua mali; wamehaha wamejifunza kwa yaliyotokea kwa Lungu zambia, watoto wao watafirigiswa tu wao wakifa, hata wakipeleka nje miamala ya kibenki imeacha alama.
chombo cha nje ndio kinaweza kuchunguza, sio chombo kinachoundwa na mtuhumiwa mwenyewe. pia, ina maana watatumia ile taarifa ya chande kutafuta jinai? wanamshauri vibaya sana mama.
Dunia yote, ukifanya uhalifu, au kutumia gari au kitendea kazi kufanya uhalifu, ili kukomesha tabia za kihalifu, matunda ya uhalifu au kitendea kazi huwa vinataifishwa.
Jiulize, kwa nini PM amekuja leo ati ametumwa kuwa sheria ya kutaifisha mali ifutwe?
Awamu hii wameiba sana, wanaogopa wao au...
ajabu yake ni kwamba, hakuna mpira wenye upinde wala kabrasha, hakuna nembo ya ushoga, RC alikurupuka akachafua image ya watu bure, na wanasema leo ameruhusu mkutano uendelee. aibu kwake, rc ni malaya na mpenda kiki hadi imefichuka kuzaa na hakimu msaidizi wa jaji ambaye naye wanasema ana kiburi...
binafsi kama wakigawana wakapeana wao kwa wao ila kazi ikafanyika na maboresho yakafanyika, sina shida, cha muhimu hela waipate kwa kuifanyia kazi kuliko angekula mzungu. hata abdul akitaka kubeba tenda zote ila kilichotakiwa kujengwa kijengwe, sina shida. tatizo ni pale wataweka hela mfukono...
kuna jamaa alinunua kwa wazawa, akabaki na karatasi asifuatilie hati, juzi kakuta watu wanamwaga mchanga na tofali, kuuliza kwanini wanataka kujenga kiwanja chake, jamaa kaja na hati kabisa amesaidiwa na maafisa ardhi, kwenda jiji wanamwambia ulitelekeza, ulitakiwa kuendeleza, tumempa mtu...
Jiji la Dodoma wametangaza yeyote aliyegawiwa kiwanja, ndani ya muda halisi wa kuendeleza, usipoendeleza, wameanzisha kampeni ya kunyang'anya viwanja hivyo.
Wameweka tangazo tayai. Kuna watu wawili nawafahamu, walikuwa na karatasi za uhakiki na mikataba kuuziwa na wazawa, kilichotokea maafisa...
nadhani tunahitaji kuendelea kuungana na zanzibar, tumeshakuwa pamoja miaka mingi, kutengana kutaumiza mioyo yetu. hata ivyo, kuna maeneo mengi sana ya kurekebisha muungano, au la, utavunjika bila hata maandamano, maeneo hayo ni:
1. umiliki wa ardhi: zanzibar wanamiliki bongo ila bongo marufuku...
tumefanikiwa kujenga "miundombinu ya mwendokasi", achana na uendeshaji hata uwe mbovu cha muhimu ni miundombini, manake akija mwekezaji mwenye akili as long as miundombinu ipo, jambo ni rahisi kuliendesha. miundombinu ya kenya wanahangaika BRT kwao ni ngumu hadi leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.