Jamaa naona kidogo ww tunaweza kaa pamoja maana unachofanya kina-make sense kidogo ijapo ni kama unataka kwenda mbali na mm ila tyupo pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Akya-mungu tena yaan hapo unalia muda wote that's why maana hao hawaendi hasara siku zote sasa ndo ujue ni bora kupigwa na mkanda wa jeshi kuliko kufuata hizo odds kubwa mzeiya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nimeleta kwenu saa ndo mnisaidie kuwa hapo labda zile coz heavy heavy hamna labda ni ualimu ama ni sanaa hvyo yan maana na dukuduku ndo maana nimeletwa kwa wana JF kiongozi.
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaah jana nimeungua 17500 sijui wenzangu na mm maana fulham na cardiff niliwapa yoyote kushinda alafu wakadroo vip wenzangua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio ya kila mtu kiaje bana mpaka uwe na 666 kwenye utosi ndo uwe humo maana unavyojib watutatanisha wengine huku em tueleze sio ya kila mtyuh kiaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijaribu kuangalia matokeo yake wao kama umepita ni pass na kama umefeli ni failed sasa nashindwa kujua kuwa kama umepita unaweza kuchagua coz yoyote utakayoona ama kuna baadhi ya coz rafiki yangu unaona hapo inavyokuwa!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitashukuru sana kiongozi maana inaniwia ngumu sana ndo maana nimeleta kwa wengi maana sauti ya wengi inatambulika na kusikika haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubwa naomba kujua kuwa mtu kama akisoma yale masomo ya secondary ya miaka 2 ali maarufu kama QT vipi akifaulu anaweza apply chuo coz yoyote ile ama kuna baadhi ya coz ndo itatakiwa asome!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.