Kitarisi
Member
- Sep 6, 2017
- 19
- 20
umeona hata weeeepm kuna laptop zisizojulikana
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Jichange kidogo mkuu ifike km kilo 5 hiv ukachukue angalau yeny Ram 2 na hdd gb 500.Mimi ni mwanafunzi ninae taka kwenda kusomea afya Ila Nina laki tatu na nusu nataka kununua laptop je ntajua vp kuwa laptop hiii ni originally wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia nataftaLaptop kwa ajili ya games hususan fifa/pes...ambayo inaweza piga hata games masaa 5 flululizo bila zengwe...inatakiwa kua na difa gan na naweza pata kwa bei gan??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia nataftaLaptop kwa ajili ya games hususan fifa/pes...ambayo inaweza piga hata games masaa 5 flululizo bila zengwe...inatakiwa kua na difa gan na naweza pata kwa bei gan??
Sent using Jamii Forums mobile app
Yna
Kwa 350 utapata laptop "refurbished laptop".Imetumika lakini in good condition yani ukiiona huwezi kujua kama imetumika,yenye guarrantee ya miezi 12 kariakoo. Endapo ukihitaji nnaweza kukuconnect na aliyeniuzia mimi
Yna
Kwa 350 utapata laptop "refurbished laptop".Imetumika lakini in good condition yani ukiiona huwezi kujua kama imetumika,yenye guarrantee ya miezi 12 kariakoo. Endapo ukihitaji nnaweza kukuconnect na aliyeniuzia mimi
niunganishe kakYna
Kwa 350 utapata laptop "refurbished laptop".Imetumika lakini in good condition yani ukiiona huwezi kujua kama imetumika,yenye guarrantee ya miezi 12 kariakoo. Endapo ukihitaji nnaweza kukuconnect na aliyeniuzia mimi
niunganishe kakaYna
Kwa 350 utapata laptop "refurbished laptop".Imetumika lakini in good condition yani ukiiona huwezi kujua kama imetumika,yenye guarrantee ya miezi 12 kariakoo. Endapo ukihitaji nnaweza kukuconnect na aliyeniuzia mimi
njoo nikuuzie yangu ipo kazini dukani nipe hizo pesa zakoMimi ni mwanafunzi ninae taka kwenda kusomea afya Ila Nina laki tatu na nusu nataka kununua laptop je ntajua vp kuwa laptop hiii ni originally wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
0744687381 mkoa UPI uponjoo nikuuzie yangu ipo kazini dukani nipe hizo pesa zako
Hard drive 500gb
RAM 4gb
Cpu core i3
TOSHIBA
dar , kariakoo
Acha uongo wewe mimi natumia lenovo G50 inamwaka na nusu sasa inapiga mzigo kama kawaida na haijawahi kifa chochote, kuhusu chaji ndo usiseme kabisa naweza fanya kazi zangu kwa masaa mpaka 6 bila kuichaji hata kidogo, kuhusu games nlinacheza mpaka PES 17.Mkuu Dell, lenovo na fujtus usichukue aisee
Dell
-huwa betri zake zinawahi kufa
-kuna muda, huwa kuna mstari mweupe unajitokeza (itakubid ubadilishe screeb)
lenovo.
-port zake (Port za kuchomekea usb hufa mapema)
Lbda km dell, wamebadilika. Ukitaka kuchukia dell bora uchukue toleo jipya.
Pole sana.Acha uongo wewe mimi natumia lenovo G50 inamwaka na nusu sasa inapiga mzigo kama kawaida na haijawahi kifa chochote, kuhusu chaji ndo usiseme kabisa naweza fanya kazi zangu kwa masaa mpaka 6 bila kuichaji hata kidogo, kuhusu games nlinacheza mpaka PES 17.
Kikubwa katika laptop ni kupata original tu maswala ya majina hayana nafasi hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vete a la mierdaAcha uongo wewe mimi natumia lenovo G50 inamwaka na nusu sasa inapiga mzigo kama kawaida na haijawahi kifa chochote, kuhusu chaji ndo usiseme kabisa naweza fanya kazi zangu kwa masaa mpaka 6 bila kuichaji hata kidogo, kuhusu games nlinacheza mpaka PES 17.
Kikubwa katika laptop ni kupata original tu maswala ya majina hayana nafasi hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu ni mjinga katika hii dunia hata wewe ni mjinga pia, ila nilichokuwa nakupinga wewe ni kusema pc za lenovo na dell kuwa hazifai hazichelewi kufa.Pole sana.
Kama yako ni nzima hongera ila time will tell. Huu ujinga wa kufananisha laptop yako na zingine sijui umeutoa wapi? Mbona haujabisha kwenye Dell? Pole sana. Siyo kila thread uchangie zingine unaziacha tu. Ungeelewa kitu gani nazungumzia wala usingedandia post yangu. Kila kampuni inamapungufu yake. Hicho kimeo chako, usikiingize kwenye hii comment. Ww kaa nacho tu wala hajakuuliza mtu kama unatumia Pc. Huu ni ujinga wa kiwango cha PHD. kwahiyo unataka watu wajue kama unaPC?
Hakuna computer feki, zote ni original ila ubora unapishana. Huwezi kufananisha laptop ya Apple na Dell. Ww jamaa sijui wa wapi?
Vete a la mierda