Recent content by Kitambazi Abdul

  1. Kitambazi Abdul

    Naomba kujua bei ya Pikipiki aina ya Boxer au TVS 150cc

    Habari wanajukwaa, Naomba Kusaidiwa Bei ya Pikipiki aina ya BOXER au TVS kwa Bei ya dukani hasa kwa Agents wao. Nilitaka kuingia Kariakoo nikaambiwa huwa Wanachakachua Engine nikinunua itanisumbua ni bora Niende kwa Agents... Ushauri na Maelezo Tafadhali naomba msaada. Sent using Jamii...
  2. Kitambazi Abdul

    Naomba kujua bei halisi ya Pikipiki aina ya Boxer 150cc au TVS 150cc

    Habari wanajukwaa, Naomba Kusaidiwa Bei ya Pikipiki aina ya BOXER au TVS kwa Bei ya dukani hasa kwa Agents wao... Nilitaka kuingia Kariakoo nikaambiwa huwa Wanachakachua Engine nikinunua itanisumbua ni bora Niende kwa Agents... Ushauri na Maelezo Tafadhali naomba msaada... Sent using Jamii...
  3. Kitambazi Abdul

    Wachungaji wa makanisa ya GCTC yanayoongozwa na Gwajima wajiuzulu

    ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (GCTC), Josephati Gwajima, amepata pigo baada ya baadhi ya wachungaji wa makanisa yake wakiwamo viongozi wa makao makuu, kuandika barua za kuachia nyadhifa zao ndani ya kanisa hilo, wakitoa sababu ya kupewa maelekezo na Mungu. Inakumbukwa kuwa Askofu Huyo...
  4. Kitambazi Abdul

    Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

    Rudisha Kumbukumbu nyuma Mwaka 2005 CCM waliochujua Fomu walikuwa 24 Mwaka 2010 waliochukua fomu walikuwa 14 Mwaka 2015 walichukua fomu watu 40 Usidanganye watu aisee Chakaza, Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Kitambazi Abdul

    Treni ya kwanza ya abiria kutoka Dar es Salaam yawasili Moshi ikiwa na abiria 294, ni utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM

    Dar - Moshi ni maamuzi yako tu ATCL - Masaa Mawili 198,000/- TZS TRC - Masaa 17 16,000/- TZS BASI - Masaa 10 ila Unalala Ubungo stend 28,000/- TZS LORI - Masaa 40 20,000/- TZS Gari ndogo binafsi - Masaa 9 Zaidi ya 100,000/- TZS Chagua ww Unachotaka
  6. Kitambazi Abdul

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mmmmh ninawasiwasi na ww... Hv hayo maneno ni Sahihi?
  7. Kitambazi Abdul

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Usiongelee Korosho peke ake, Mengine vp
  8. Kitambazi Abdul

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Hahahaaa mm nimekopi mahali nikaona ni Kama Kichekesho tu nkasema ngoja nione Mawazo na mengine
  9. Kitambazi Abdul

    Nilichogundua Dr. Mashinji ni mfanyakazi hewa

    Unawapa pole Gani akati bado ni wanaCCM na bado ni Wabunge na Kinana ni Katibu Mkuu Mstaafu... Au unawapa Pole Kwa Kutenguliwa Uwaziri hahahahaaaa Kama pole ya Kitenguliwa uwaziri bas pole anza kumpa Nyalandu na Sumaye kisha nenda Kwa Membe, Mwigulu, Nk
  10. Kitambazi Abdul

    Wakili Kibatala ahoji kwanini video ya ushahidi haionyeshi kwamba ilirekodiwa kwenye viwanja vya buibui?!

    Kama uwanja wanataka hadi uandikwe Buibui inamana na Mbo~We nae awe kaandikwa Jina... Au ndo DJ sio yeye !!!???
  11. Kitambazi Abdul

    Mitandao ya simu, vinga'amuzi igeni Tanesco kwa faida ya umma, mawaziri na regulatory authorities tupeeni macho

    Mitandao ya Simu wana hiyo kitu tokea kitambo tu... Lkn watu hawatumii Sana hiyo kwasababu ya Uchache wa Bundle Halichachi bundle... Kama Una Dk 10 bas utatumia Mpaka ziishe, hazina expiry date
  12. Kitambazi Abdul

    Serikali imsaidie na kumuomba Tundu Lissu msamaha

    Mbona Kama ni Kijana wa Kaki vile!?
  13. Kitambazi Abdul

    Kuhusu Rais Magufuli Kushika Uenyekiti wa SADC, zamu yetu tena itafika miaka 16 ijayo

    Kaongea ila Kuna mambo hajui inatakiwa Afundishwe huyu... Ingekuwa ni Kitu cha Kuja automatic bas mpaka sasa Tungekuwa tunajua Kijiti hiki Atakayefuata ni nani, Ajulishwe huyu Muandishi kuwa Leo ndio Wakuu wa Nchi watakuja kutangaza Anayefuatia Baada ya Kupitia Vigezo vyote Vya Nchi husika...
  14. Kitambazi Abdul

    Kiongozi wa ‘kina flani’ yamkuta ya kumkuta!

    Bila Shaka ww ni wale watu wasiojulikana... Umeonesha wazi kuwa Unawajua Wenzako...
  15. Kitambazi Abdul

    Jarida la The Economist leo limemtukana Rais Magufuli kwa kumwita FOOLISH

    Ukiona kelele nyingi tambua hapo ndipo penye Matatizo... Ongeza dozi zaid ili watu wapone... Kiza kinavozidi ndio kucha kunakaribia...
Back
Top Bottom