"Nakamua siku 300 na kwa kweli ng'ombe wameniweka mjini na ninawaheshimu! Wakianza kukamuliwa ile asubuhi au jioni mlio wa maziwa kwenye ndoo kwangu ni Bora kuliko mlio wa ATM ikiwa inatoa pesa!
Nikiwa maumwa pesa inaingia, nikiwa mzima pesa inaingia. Changamoto kubwa ni ma bwana mifugo...
Mkuu wewe umeanza kukosea tangu mwanzo. Halafu hakuna kipindi ulikua na wakati mgumu kama kipindi unaaanza kumtamani huyo wa pili kwa sababu tayari ulikua na huyo wa kwanza. Ulimlaghai na akakukubali na ukuwahi kumwambia ukweli kuwa kuna mwenzake, ukatumia akili, nguvu, muda na pesa kuhakikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.