Najua hili la kulipa 25% kwa wastaafu haliwezi kumuuniza kwa sababu baada ya miaka 5 analamba fedha yake yote. Kama keli wao ni wazalendo wabadilishe sheria ili walipe 25% ya mafao na % nyingine ichangie katika ujenzi wa viwanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.