Habari Mh Lissu? Pole kwa kampeni.
1. Naomba kujua umejipanga vipi kutatua tatizo la ajira nchini, tatizo linalohathiri vinana wengi sana.
2. Kutokana na uvunjifu wa sheria na haki za binadamu unaofanywa na jeshi la polisi, je Serikali yako itakua tayari kufumua hili jeshi na kuliunda upya? Je...
Habari za jioni JF?
Nilipotea kwa zaidi ya miezi 6 kwasababu ya zilizopo nje ya uwezo wangu lakini sababu kubwa ni kukosa uwezo wa kulog in kwenye account yangu.
Naamini mtanipokea tena katika majukwaa yote, kwa bahati mbaya lile jukwaa letu pendwa wameliondoa[emoji35].
Tujumuike kusogeza...
Kuimarika kwa ACT- Wazalendo kwa kasi ya bombardier kumemuogopesha msajili wa vyama.
Sasa ana nia ya kuifuta ACT- Wazalendo na barua ya kuonesha Hiyo nia kawaandikia.
Ndani ya miezi miwili alizunguka Tanzania nzima, ndani ya miaka minne kaaenda kanda ya ziwa zaidi ya mara 5. Mikoa mingine hapana.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Millard Ayo anaweza kuwa mtanzania wa pili baada ya Mwl Nyerere kwenda Marekani kwenye course ya International Visitor Leadership Program mwaka 1960.
Course hii inatolewa kwa International leaders kwenda Marekani kujifunza kuhusu uchumi, siasa, jamii na tamaduni za Marekani.
Course hii...
Limekua jambo la kushangaza kidogo Jiwe kwenda Mbeya miaka minne baada ya uchaguzi.
Ziara hii inaleta maswali mengi kuliko majibu
Je huu ni mwanzo wa kampeni za uchaguzi unaokuja?
Je, zile zomea za kampeni zilimfedhehesha na kuamua kuwatupa?
Vipi kuhusu mikoa mingine ya kanda za juu kusini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.