Salaam,
Pamoja na kuwa hawa wazee walionyesha njia mwanzoni mwa mapambano,sasa wameamua kujiengua,sisi vijana tunasema hapa ndo kwanza wamechocheo kuni moto.
Tutahakikisha hakuna kulala hadi kieleweke wameondoka wao hawakuondoka na watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.