Ngoja nikaoge nirudi kusoma vizuri maana mmmmh na kelele zote zile kulikuwa hakuna Evidence? kweli hii ndio Tanzania nchi yangu yenye neema na baraka tele kwa watu wake na mali zake.
Tafuta ustarabu mwingine mbona kama umepangiwa lazima upate utapata tu? wenzio walikomaa lakini mwisho wa siku wakaota manundu na hawakufanikiwa kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.