naombeni msaada hii portal ili niweze kuapply natakuwa kuwa nimefikia asilimia walau 70% sasaa mi nimejaza kila kipengere baso niko asilimia 55% naweza kuwa nimekosea nn? Nisaidienii wadau.
Wewee ndo pumba kabisaaa unainyenyekea hela yako hiyo ni lazima Rais ahakikishe usalama wa walipa kodi wake mana ndio wanaomuweka madarakani hayo maswala ni lazima ayatekeleze kwa lazima na sio ombi watanzania tumerogwa na nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.