Recent content by kissama

  1. kissama

    Jinsi ya kutumia ajira portal msaada unaitajika

    Ulifikaje asilimia 90 mkuu mana wengine tupo 55 sijui nimekosea wapi au sijui nn ambacho cjaweka mana section zote nimejaza.
  2. kissama

    Naomba nisaidiwe tatizo hili Ajira portal

    naombeni msaada hii portal ili niweze kuapply natakuwa kuwa nimefikia asilimia walau 70% sasaa mi nimejaza kila kipengere baso niko asilimia 55% naweza kuwa nimekosea nn? Nisaidienii wadau.
  3. kissama

    Wabunge wa CCM oneni aibu basi

    Hahahaaaa shuka la.....????
  4. kissama

    Wabunge wa CCM oneni aibu basi

    Kwa mparange
  5. kissama

    Wabunge wa CCM oneni aibu basi

    Well said
  6. kissama

    Mradi wa bandari ya Bagamoyo urejeshwe haraka sana

    Mbona ma fly ova tunawapa Yale hayana dhuruma? Nauliza tu
  7. kissama

    Mradi wa bandari ya Bagamoyo urejeshwe haraka sana

    Huo sio msaada ni agreement lakn by the way bandari ni muhim ila kuwe na usawa ktk mkataba pia
  8. kissama

    Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

    Wengi wape Mungu fundi bwana
  9. kissama

    Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

    Hee kumbeee good idea
  10. kissama

    Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

    Wewee ndo pumba kabisaaa unainyenyekea hela yako hiyo ni lazima Rais ahakikishe usalama wa walipa kodi wake mana ndio wanaomuweka madarakani hayo maswala ni lazima ayatekeleze kwa lazima na sio ombi watanzania tumerogwa na nani?
  11. kissama

    Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

    Hahahaaaaa
Back
Top Bottom