Recent content by kisiririmoko

  1. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Si unaona ilivyo na mafanikio, japo hoja yako haina evidence yyt, tuonane Oct 25
  2. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi(BRT) Dar - Agosti 17, 2015

    Nijambo zuri, ila wanachemsha kumpa ayazindue, si kuna waziri muhusika yeye atazindua nn , mbona Ccm wanamzalilisha huyu jamaa yao
  3. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Unafiki wa viongozi wa CHADEMA huu hapa

    Sawa umesema mengi ya Edo, na umekuwa against na yote wanayofanya CHADEMA fine tupe bc mazuri ya CCM, kwann upo biased kiasi hicho
  4. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Naomba samahani kwa niaba ya wafanyakazi wa Tanzania!

    Jingalo Peleka makala yako uhuru na mzalendo sio humu jamvini
  5. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais UKAWA-Mbeya

    Sawa aibu yetu we tuachie, nyie wenye akili nyingi nendeni huko huko, acha sisi wafu tuzike wafu wetu, Kaa na uwerevu wako
  6. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania TANESCO, maamuzi yenu ni maangamizi yetu

    Haa huu wizi mbona ni kwenye luku zote, polee
  7. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Pigo jingine kwa Team Lowassa: Christopher Ole Sendeka akana kuhama CCM

    Lazy Bones unatafuta umaarufu wa kupost or what Sendeka ni mtu asiye na faida yeyote ukawa, tungemkosa mtu kama Lembeli, hapo kweli tungekuwa tume loose lkn Sendeka, go to hell with him
  8. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kumrithi Dr. Slaa

    Nafikiri Mr nobody sijui lazy bone or whatever, kuna mtu kweli anahaja na hizi balabala zako, fanya yako tuache wafu tuzike wafu wetu Kwn we ndio msemaji wa CDM, kwenye hii nchi hakuna those fucken news zaidi ya za CDM, be civilised men
  9. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Msekwa: Lowassa ndio nani kwa CCM? Ametawaliwa na tamaa, uchu wa madaraka. Mtikila kwenda kortini

    Ni lolote ndio maana toka aondoke kwenu, haya magazeti uchwara yanaweka hbr zake front page, Kwasababu kwenu cio kt tulieni wafanye yao nyie fanyeni yenu Mzee Msekwa cjakusikia mda mrefu sana, umeibukia wapi tena, mbona unafanya kazi za Vuvuzela. Umeadiwa nn mzee? Wacheni watu watumie...
  10. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Magufuli yupo Arusha kikazi

    Galang, usipotoshe watu, Mapadlock kapita zake kimya kimya mitaa ya Ngarenaro Nilichoshuhudia ni dirisha tu ndio lilikuwa wazi, kila mtu alikuwa bize na mambo yake
  11. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio wabaya wa Lowassa

    Very fan, kwamba hawajui utajiri katoa wapi, akiamia upinzani, utasikia mengi vyanzo vyote vitawekwa bayana Nchi hii inasifika kwa upelelezi toka nikiwa mtt nasikia haya, sasa wameshindwa vipi kumchunguza, au kumchunguza ni kujichunguza
  12. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu hajui tofauti kati ya Bunge na Serikali

    Hao ni vyakula vya wazeee, kashfa zote hizo magezetini bado ana guts za kwenda kwenye muhimili mkubwa namna hii. Kweli Bongo alietuloga bc na afufuke
  13. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania January amvaa Kingunge, asema anakivuruga chama (CCM)

    Huyu chali anaongea sana, kwa vile system imemfavour ndio maana Mchakato haukuwa wa haki wala haukuna wa kuficha hilo
  14. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Wananchi tumeanza kukata tamaa na UKAWA Kwa ukimya huu mnaouonesha

    Kwa sasa Ukawa kunamichakato mahususi juu ya jambo hili, SIMBA MWENDA POLE NDIYE MLA NYAMA,
  15. kisiririmoko

    JamiiForums Tanzania Onyo kali kwa kamati kuu CCM chama changu, Baraza la wazee na Rais Kikwete

    Kukatwa au kupitishwa tuwaachie CC mbona siku zimekaribia nyie team na nn mbona mna haha, mnajua madudu yenu, tulieni wembe upite
Back
Top Bottom