Recent content by kisinzi

  1. K

    Msaada: Jinsi ya kupata Visa kwenda Cameroon

    Asante mkuu. Hakuna ubalozi wa Cameroon Dar. Nilitaka kujua kama kuna ubalozi mbadala unaotoa huduma kwa niaba yao.
  2. K

    Msaada: Jinsi ya kupata Visa kwenda Cameroon

    Msaada: Natakiwa kwenda Camerron baada ya wiki tatu kuanzia sasa. Visa napata wapi?
  3. K

    Msaada: Bati ip nzuri, LUGOBA TILE, MANGALORE TILE au MAYSORE TILE?

    Hapana. Baada ya kuezekwa, wanadai huchukua mwaka mmoja halafu misumari yake yenye kofia ya plastiki huoza, ndo mwanzo wa kuvuja, mkuu!
  4. K

    Msaada: Bati ip nzuri, LUGOBA TILE, MANGALORE TILE au MAYSORE TILE?

    Wadau naomba msaada wa uchaguzi wa bati hizi za 'SAUZI'. Nimeambiwa na baadhi ya wadau kuwa IT 5 zinavuja sana, hivyo nikageukia kwenye Lugoba, Mangalore na Maysore. Mwenye uzoefu tafadhali msaada.
  5. K

    Msaada: Vipimo gani vinaruhusiwa katika group c medical laboratory?

    Wadau naomba mnijuze eti ni vipimo gani ambavyo naweza kufanya katika medical laboratory yangu ambayo ni group C?
  6. K

    Foleni kubwa kuelekea/kutoka Kibaha mizani

    Tupo hspa tangu saa 12jioni na sioni dalilo ya kuondoka. Hakuna kinachopita. Msaada wahusika.
  7. K

    Mabasi ya Dar - Tabora

    NBS mpango mzima...Karibu mihogoni ule matobolwa.
  8. K

    Epuka utapeli huu Facebook

    Jaribu kumtumia account yako azikombe halafu ndiyo utajua jinsi anavyoweza kuzitoa.
  9. K

    Msaada; Jinsi ya kutambua jina la mtu anayeniadikia meseji za matusi

    Kuna mtu mmoja mwenye line ya AIRTEL ameanzisha kamtindo ka kuniandikia meseji za kunitaka mapenzi na zingine za matusi, halafu immediately baada yakutuma meseji anazima simu au kutoa hiyo line. Ninamhisi jamaa fulani, ila sina ushahidi. Ninajua vodacom huwa wanaonesha jina la mtu unapotaka...
  10. K

    Kutoka KJ 832...JKT Ruvu

    Tundu Lissu tulikuwa naye kwanza Mafinga JKT halafu tukapigwa bogi kwenda Itende JKT. Jamaa alikuwa mtata kama hivi alivyo sasa. Kademu kake kalikuwa kanaitwa Suzana, kembamba kivi. Mimi niliondoka na bogi la KMT Chita kulinda reli na madaraja ya TAZARA.
  11. K

    Msaada: Kuagiza vitu toka China kwa njia ya mtandao

    Ninahitaji kununua kifaa tiba fulani toka katika kampuni ya Maya medical equipment limited yenye anwani hii hapa:No 10, Haiyue building ,HaiBin garden, Shangjiao Dashi town, Panyu Area,Guangzhou,China. Je kuna mtu mwenye taarifa au uzoefu wa kununua vitu kwa mtandao toka China? Naogopa kulizwa...
  12. K

    Hatukumuachia hakimu aamue mwenyewe!

    Kwanini hukuanzia mwanzo wa hotuba yenyewe? Hivi unapotosha umma.
  13. K

    swali la kizushi

    Aaah, mimi nina matokeo tofauti ya jaribio la kikemikali. Sumu iki-expire inarudi kuwa dawa, ila si ya kutibu tena ugonjwa wa mwanzo.
  14. K

    ITV, hii ni dharau kwa timu ya taifa!

    Mtangazaji wa ITV michezo anatupa habari zingine za kina Mess na Pele bila kutaja habari za timu yetu iliyocheza na kushinda leo! Habari gani ina uzito zaidi ya hii? Tuenzi vyetu kwanza.
Back
Top Bottom