Recent content by KISHOMBO

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kamwaga atembelea Ubalozi wa Cuba kuhakiki bei ya Gesi

    Ili iweje?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Mona mlinzi alibadilishwa siyo yule? . My take!
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kuna haja ya kuchunguza kifo cha Mkapa, Magufuli, Membe, Sitta na Ndugai

    Teddy Mapunda
  4. K

    JamiiForums Tanzania Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

    Huyo anamaanisha SA siyo Tanzania
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Siasa zetu ni kujua kusoma na kuandika basi. Wananchi hawa ndg zetu huko kwenye CV hawapo tena subiri usikie matusi kutoka kwa wananchi wakimporomoshea
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watia nia 44 wanawake wamechukua fomu za kuwania Ubunge Mtwara

    Ondoa hiyo sifa ya kujua Kingereza siyo lazima
  7. K

    JamiiForums Tanzania SoC04 Tanzania tuitakayo: Bunge Mbadala kwa ukomavu wa kidemokrasia nchini

    Hapana bunge hili halina mawaziri
  8. K

    JamiiForums Tanzania SoC04 Tanzania tuitakayo: Bunge Mbadala kwa ukomavu wa kidemokrasia nchini

    Utangulizi Tanzania kama zilivyo nchi za Jumuiya ya Madola zina mfumo wa uwakilishi wa wananchi unaofanana kwa asilimia kubwa. Hata kanuni, miongozo na sheria zinazotumika kwenye mabunge ya nchi hizi zinafanana. Ni mfumo wa miaka mingi ambao chanzo chake ni tawala za kifalme za nchi ya...
  9. K

    JamiiForums Tanzania SoC04 Tanzania tuitakayo: Kliniki mwendo (mobile clinic): Suluhisho ya vifo vya mama wajawazito, watoto, makundi maalum sehemu za pembeni na vijijini nchini

    Kliniki mwendo (mobile clinic): Suluhisho ya vifo vya mama wajawazito, watoto,makundi maalum sehemu za pembeni na vijijini nchini Utangulizi WAKATI nchi nyingi duniani zikiendelea na mkakati wa kuboresha sekta ya afya ili kufikia agenda ya 2030 Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) lengo 3...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mambo matano ya Hayati Rais Magufuli yaliyoshtua Dunia

    Hivi ile mashine iliyopima zile sample sita ikiwemo Kwale, Oil, kondoo, fenesi baadhi vikakutwa na Covid 19 bado ipo?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Uchunguzi wangu wa awali kuhusu mgodi wa siri uliopo ndani ya pori la hifadhi Singida-Tabora

    Hebu mtu afuatilie hizo coordinates 6°49'03.8"S 34°13'07.9"E kwenye ramani za maeneo yenye madini kutoka GST. Tuone kuna aina gani ya madini yako hapo
  12. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Kwani kuna haja ya ufafanuzi?
  13. K

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

    Nafikiri anatania labda ana mahaba na timu yake
Back
Top Bottom