Walofanya leo usail wa history wanasema kulikuwa na maswali ya hesabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Km ni kwel aisee utumishi SHIKAMOO,yan history unaweka na hesabu km geog kwel jmn?
IRAN sio waarabu wale ndgu, au we yyte mweupe aliemuislamu na akatoka middle east kwako ni mwarabu et[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kafanye homework zako tena
Kuna jamaa hpo kamtag mzee saidi half akasema hapa hkn muislamu aliyetajwa. Ndio nikamfahamisha hao ni waislamu.
Harakat zote za kupinga ukoloni na kupigania uhuru nchi hii zimeanzia kwa waislamu. Ndio maana hayo majina ya hao miamba ni ya kiislamu tupu
Wew hujuw k2, hao karbia wote waliotajwa hapo ni walikuwa waislamu.
Majina yao halisi haya hapa.
1. Kinjeketile jina halisi SELEMAN MAMBA
2. Chief songea- ALLY SONGEA MBANO
3. Mkwawa n.k
Hao wote walikuwa waislamu
Sikwambii kuhusu akina abushir,akina Makunga ya,akina bwana heri n.k
Samahan wadau naomba msaada jinsi ya kutatua hii changamoto kwny kisimbuz cha azam antena.
Inaniandikia tu "stb verification required" sas hapo nachemka
Msaada tafadhar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.