Recent content by kishah

  1. kishah

    Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

    Hemmoroids inauma au inaweza isiume.. ila kuna kitu kinaitwa thrombosised hemmoroids unaweza ukazimia kwa maumivu yake.. na pia hunyonya damu mwilini
  2. kishah

    CCM waanza kuiga kudeki barabara!

    Hahahahaha kazi kweli kweli dooh..
  3. kishah

    Ajali Mbeya: Zaidi ya watu 23 wafariki kwenye ajali iliyohusisha Hiace

    Ndagha gwitu.. kyala gwa mmaka akutule fijho..
  4. kishah

    Ajali Mbeya: Zaidi ya watu 23 wafariki kwenye ajali iliyohusisha Hiace

    Hao traffik walikuwepo wapi mpk hiyo hiace ikaiba root?? Nane nane kuna trafik igawilo kuna trafik uporoto kuna traffik kama sikosei so hao trafik.wote waliiruhusu hiyo hiace ipite huku imejaza watu hivyo?.. MUNGU tunusuru waja wako..
  5. kishah

    Nahitaji kuolewa

    Kazana kumuomba mungu atakujaalia mume alokuwa na kheri na weye.. kuzaa wala sio tatizo my dear alizaa princess diana na bado dodi el fayed akamtaka so sio mwisho wa dunia miaka yako bado midogo ndoa sio rahisi kama unavyodhani sasa hivi tulia lea mtoto wako na ikiwezekana jiendeleze kimasomo...
  6. kishah

    Zari 'The Boss Lady' VS Chagga Barbie 'Muke ya Mganda'

    Binaadam wengine hawana kazi kweli.. sasa kama alidokoa pesa kwenye account ya wanae si wa kwake? Nashangaaa imekuwa big issue kuchukua pesa kwenye account ya wanae sioni tatizo liko wapi... miye nakula sana pesa ya mwanangu... si ndo mama yake ale nani sasa??
  7. kishah

    Wanawake wa JF kutumia id feki na avatar feki kuna wakosesha bahati

    Mwee.. tutaitwa majina yoote humu ndani ili mradi tu tuweke picha zetu halisi.. kazi kweli kweli..
Back
Top Bottom