Recent content by KISAVULI

  1. K

    Shibuda amshambulia Tundu Lissu bungeni

    Utafikiri kuna agenda ya siri lakini laa tatizo ni wewe mwenyewe una mapenzi na chama chako kupita kiasi kipofu utaita chongo kila alisemalo mwana chama chako ni haki na kweli kubali kukosolewa utakomaa kisiasa
  2. K

    Prof Lipumba awataka waislam kote nchini wasiandamane.

    Mtasema ni udini lkn sera ya CUF ni haki sawa kwa wote hata hao Mashekhe wana haki ya kupata zamana alafu ndio kesi iendelee au ndio yale kundi mmoja lina khaki kuliko kundi lingine HAKI SAWA KWA WOTE
  3. K

    Swali;maandamano ya waislamu yameishia wapi?

    hayo ndio matokeo ya ubaguzi sasa hvi ni udini nje nje lakini ndipo tulipotakiwa kufika alianzisha aliyeanzisha kwa kuligawa kundi mmoja na kuona jingine ni bora kuliko ndio amewachia watanzania shida kumbwa sana ambapo kama halitoangaliwa tunaelekea kubiya viongozi hakikisha kila mmoja...
  4. K

    Nape nnauye: Tathmini; matokeo ya uchaguzi mdogo wa udiwani.

    ndio CCM mmeshinda lkn angaliena idadi ya kura kwa ujumla bado mnahitajika kujipanga kama mnahitaji kuendelea kuiongoza dola mwaka 2015 na viongozi wa siasa tumiene muda wenu kueleza sera sio matusi watanzania wa siku hzi sio wale wa zamani wanajua kuchambua mchele na pumba
  5. K

    live kutoka Arusha.JK akutana na nguvu ya umma

    hayo ndio wanayotaka kusikia wana chadema lkn jaribu kupunguza propoganda kwani mara nyingi mnachoongea kinakuwa na ongezeko la chumvi kwani ingekuwa mnayoongea ni kweli nisingetegemea ccm kupata kiti hata kimmoja kwenye uchaguzi wa madiwani na pindi mnapojisifu sana mnajisahau mnafikiri tayari...
  6. K

    UCHAGUZI wa MADIWANI: CCM Kata 22 kura 29,000; CHADEMA Kata 5 Kura 28,800

    Ushabiki usikufanye kuongea uongo takwimu ulizotoa ni uongo wape wananchi takwimu za ukweli
  7. K

    Safari yangu katika jimbo la HAI (Jimbo la Mh Mbowe)

    Mtashindana sana kuwa huyu kafanya hili yule hajafanya lile kama huyu hajafanya hili basi itabaki tu hajafanya hatuangalii ni mwenyekiti wa chama gani iwe chalinze iwe hai wote tutasema hawajafanya kazi
  8. K

    Ufahamu na upeo wa baadhi ya wabunge na viongozi Chadema na ubabaishaji wa kisiasa

    tatizo ukipenda chongo utaita kengeza basi hili ndio tatizo la wanachama wa CHADEMA hata kama mbunge wao muelewa ni mdogo watamwagia sifa tele lkn ninachojua chadema wakiikamata nchi mwaka 2015 lazima nchi ibinuke jirekibisheni wana CHADEMA la sivyo .........
  9. K

    UPDATES: Mkutano wa CHADEMA jijini London...

    nimewaelewa wana freemason hamuwezi kuheshimu dini ya mtu mwingine bado watu hawajawatambua tu hata hao wakristo wanaoshabikia hawajui lilo ndani ya cdm
  10. K

    Lowassa: Tuko tayari kuingia vitani na Malawi...

    Maneno mazuri lkn tuhakikishe njia za kidiplomasia zimeshindikana kabisa tukumbuke ita vya Uganda ambavyo mimi nijuavyo havikuwa vya lazima lkn vimetugharimu kiuchumi mpaka leo sasa angalia tz ya leo uchumi ulioshikiliwa na mafisadi
  11. K

    Lowassa: Tuko tayari kuingia vitani na Malawi...

    Anachoongea Lowassa ni sawa kabisa ila tujitahidi sana kwanza njia za kidiplomasia kwani tukumbuke vita vya Uganda vilitugharimu kiuchumi na uchumi wenyewe huu ulioshikiliwa na mafisadi tuangalie sana isije ikatugharimu mpaka kizazi cha wajukuu zetu
Back
Top Bottom