DC MALINYI AONJA JOTO YA JIWE TOKA KWA BARAZA LA MADIWANI
Katika kikao cha halmashauri ya wilaya ya Malinyi kilichofanyika 12/08/2017, kikao kilijadili ripoti ya utendaji na utekelezaji wa Ilani ya CCM ndani ya halmashauri ya Malinyi, ambapo kwa mwaka 2016/17, halmashauri imeweza kutekeleza...
Kama ilikuwa ni wema kwanini asingegawa misikitini na makanisani kama bwana yule
Wote waliotendewa wema ni wana mtandao waliomsaidia kupiga alikuwa anarudisha fadhira
Mayalla ni Manjaa
Mmechelewa tayari keshaanza kumsifia mwenye mamlaka na kuanza hadi kuwatuhumu kina Werema utadhani yeye ni msafi kiasi hicho.
Pengine ndio janja yake ili mkubwa asimtumbue.
Hawa wanatakiwa kukaa bechi kwa maslahi ya Taifa.
Kuna taasisi isiyokuwa ya kiserikali ambayo makao makuu yake yapo Kenya na Tanzania imeanza kufanya kazi.
Moja ya majukumu yake ni kusaidia waathiri wa virusi vya Ukimwi kwa kuwapa chakula,madawa, na bidhaaa mbalimbali.
Lakini kuna tetesi kwamba vitu wanavyotoa ni vile vilivyoisha muda wake...
*DC CHRISTINA MNDEME KUKOMESHA MIMBA ZA UTOTONI DODOMA*
Wilaya ya Dodoma mjini chini ya Mkuu wa wilaya mh Christina Mndeme imezindua kampeni ya magauni manne katika kupambaba na changamoto za mimba za utotoni/wanafunzi,uamuzi huo umetokana na kukithiri kwa mimba kwa wanafunzi kiasi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.