Mkuu sikuwa na simu kubwa ila nilijitahidi kuandika namba za gari STM 5771 Land cruiser double cabin ya rangi ya kijivu Mpya dereva Mzee hivi amevaa miwani pia polisi walikuwa wababe walikuwa wanamshambulia jamaa uku wamemfunga pingu yaani kama jambazi mateke vichwa ngumi ni hatari
Nianze kwa kuwapa Pole na ujenzi wa taifa, naomba niweke wazi kwamba Kuna jambo nimelishuhudia hapa kwa jirani yangu siamini kama utendaji wa jeshi la polisi umefikiwa viwango hivi ama ni wale Maaskari walikuwa wakifanya vile kwa matakwa Yao binafsi.
Ilikuwa majira ya saa Saba mchana Askari...
Hayakuwa magumu kwako biashara nyingi zilikufa awamu ya 5 labda wakati huo ulikuwa Burundi wewe,unajifanya mjuaji wakati 0 tu,kwa upande wa kaskazini mwa Tanzania mipaka ya kibiashara ilifungwa hivyo kupelekea mazao mengi kukosa soko ref kuchomwa Vifaranga wajinga kama nyie dawa yenu kuzikwa...
Hayo unayoyoyaita maisha magumu awamu ya sita ni matokeo ya awamu ya 5 kuanzisha mamiladi makubwa na ya gharama kubwa alafu mengi tukope tu kupunguza makali hakuna namba mama pambana hivyohivyo yote haya kayaanzisha baba yao mwendakuzimu.
Ni kweli alihamishiwa chemba 2021 akapiga madili akabaki mpaka leo ofisini kwani alituaga kabisa na Mimi nilisepa mwaka huo nafikiri yule bwana ake meya wa DODOMA mjini anamkono wake na kwa tetesi ule uhamisho ilikuwa wa adhabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.