Alichosema Ndassa;' hili ni Bunge Tukufu, hakusema wabunge waitwe Watukufu ......tukiendelea na ugomvi huu halitokuwa lBunge tukufu tena ila litakuwa Bunge la wagomvi. na kwa maantiki hiyo tutakuwa hatuwatendei haki waiotuchagua' nanukuu alichosema na kama unabisha kasome HANSARD
Chadema jifunzeni kuvumiliana, kwani hakuna mtu aliekamilika, jirekebisheni sasa kwenu nani mzuri kila mtu mnataka kumfukuza mpaka katibu mkuu wenu mkishika nchi simtaanza kufukuza raia waondoke Nchini? Du yangu macho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.