Recent content by kisambi

  1. K

    Mbunge Ndasa wa CCM ataka wabunge waitwe watukufu

    Alichosema Ndassa;' hili ni Bunge Tukufu, hakusema wabunge waitwe Watukufu ......tukiendelea na ugomvi huu halitokuwa lBunge tukufu tena ila litakuwa Bunge la wagomvi. na kwa maantiki hiyo tutakuwa hatuwatendei haki waiotuchagua' nanukuu alichosema na kama unabisha kasome HANSARD
  2. K

    TAARIFA ya kuvuliwa uanachama CHADEMA kwa Juliana Shonza(M/Kiti), Mtela Mwampamba na Habibu Mchange

    Chadema jifunzeni kuvumiliana, kwani hakuna mtu aliekamilika, jirekebisheni sasa kwenu nani mzuri kila mtu mnataka kumfukuza mpaka katibu mkuu wenu mkishika nchi simtaanza kufukuza raia waondoke Nchini? Du yangu macho
  3. K

    Henry Matata: Dr. Slaa mwongo no. 1 duniani

    Duu je nani aliiba sadaka kanisani?
  4. K

    Henry Matata ashindwa kesi ya kuvuliwa uanachama CHADEMA

    Hajashindwa kesi alikua na kesi mbili zinazofanana kafuta yeye mwenyewe moja kwenye primary courty ya high court bado ipoi
  5. K

    Matata kuvuliwa umeya ni pigo kubwa sana kwa CCM katika kipindi cha pili cha JK -Pt I

    Hii Thead mekaa kama ya TYSON yaani haina ukweli hata kidogo MAtata bado yupo
  6. K

    Lowassa akiwa Rais...

    Now you are talking Lowassa Oyeeeeeeeeeee
Back
Top Bottom