Recent content by Kirumi

  1. K

    JamiiForums Tanzania Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Wanatengeneza tangazo la "utii wa sheria za barabarani bila shurti" wakuu, nothing else!
  2. K

    JamiiForums Tanzania Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Guys, don't west your energy kwenye hii kitu! Jamaa wanatengeneza tangazo la utii wa sheria bila shurti nothing else! hutaki acha
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kuna hitilafu Gridi ya Taifa? Umeme wakatika ghafla nchi nzima...

    umerudi, badget oye!
  4. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Tarehe ya kujifungua imepita lakini dalili bado, tatizo nini?

    Ndugu zanguni, wanabodi! Mke wangu ni mja mzito na kwa mujibu wa clinic yake na amepima pia kile kipimo cha utra sound na ikajulikana kwamba angejifungua tarehe 3 ya mwezi wa nne, cha ajabu hadi leo tarehe 10/4 bado hajajifungua na wala bado zile dalili hazipo. Naombeni msaada na ushauri...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nitafanya nini na 20m

    Heshima kwenu GTs, nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali. ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza chuo in 2008, sasa nimeona ni wakati muafaka wa kufanya mambo yangu mwenyewe kwa huu mtaji ambao...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nitafanya biashara gani na 20m

    Heshima kwenu GTs, nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali. ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza chuo in 2008, sasa nimeona ni wakati muafaka wa kufanya mambo yangu mwenyewe kwa huu mtaji ambao...
Back
Top Bottom