Kweli kampuni inakufa kifo kibaya sana. Inakufa kibudu kabisa. Ilianza vizuri sana, wakabweteka. Wana wafanyakazi jeuri, sidhani kama mwenye gari hizo ni jeuri kama walivyo hao vibarua wake. Kwaheri Dar Luxy, lala salama kuzimu.
Painful truth
Britanicca una akili kupindukia. Wengi watapata tabu sana kukuelewa. Na wachache watakaokuelewa watanyamaza kimyaaaaaa, wakiangalia usikute kuna mtu amewaona.
What a powerful word? Such an open heart, frank and honest.
I share the grief with you SweetieLee.
Be strong, it doesnt matter what it take, it will never mark the 3nd of the world for you.
Hold on........
Niemkuwa nikisema siku zote kuwa viongozi wengi wa upinzani ni waganga na wachumia tumbo. Na wengi walikimbikia upinzani baada ya kunyimwa nafasi za ulaji huko walikokuwa.
Mhe. Selesini unasema matusi yapelekwe CCM, kwanini? Nchii inahitaji siasa za kukosoana kistaarabu siyo kwa matusi...
Ustaarabu hupimwa kwa vitu vidogo sana, kimojawapo ni hiki. Unafiki, uzandiki, uzwazwa na kujipendekeza. Ni ajabu na kweli, hakuna anayezungumzia suala la rubani mwingine aliyefariki, ajali yenyewe na chanzao chake, hatua gani zichukuliwe kuepusha majanga kama hayo na kadhalika. Hakuna hakuna...
Britanicca wewe ni bright sana naelewa japo sikujui. Tuchukulie mfano wa mchimba almasi, ni mawe aina ngapi anakutana nazo lkn hazina tija kwake? Lengo ni kupata almasi, mawe mengine yote hana haja nayo na yatabaki yalivyo.
Na suala la privacy kwa uelewa wako niujuao linatoka wapi katika suala...
Barafumoto umeamua kuwa barafutope. Magufuli wa Njombe halinganishiki na Magufuli wa ukweli kwa sauti hata kidogo. Nilimwona kuwa kihoja na kituko tu. Na Mhe. Rais alimheshimu tu kwa sababu alishaandaliwa kuongea. Usilinganishe giza na mchana.
Sasa nimepata kumfahamu vizuri Membe. Sikuwahi kujua kama ni mtu wa low level kiasi hiki. Na kumbe nia yao ni kumvuruga tu Mhe. Rais na kuvuruga Nchi. Kwa akili niliyoiona kwenye hiyo audio kama ni ya kweli, nimeogopa kabisa. Haya mambo yasivhukuliwe kwa wepesi hata kidogo.
Wao ndio watakuwa salama? Kama ni kweli hayo, Wao wenyewe ndio waliofanya na dhambi ni yao wenyewe. Wataponea wapi? Wala situmie hicho kama kivuli. Haitasaidia chochote. Uungwana ni kukubali kosa na kuomba msamaha maisha yanaendelea. Hii kuishi kiujanja ujanja haitasaidia hata siku moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.