Recent content by kirisha

  1. kirisha

    Bank tellers ni wezi wa kimya kimya, kuweni makini

    Mwanangu Mimi ndio siwezi kwasababu kwa siku natoa mara tatu au mbili na natoa millioni 20 nitaweza kukaaa na kuesabu kweli
  2. kirisha

    Hatimaye baada ya mangaiko ya muda nauona mwanga

    Asante sana kwa ushauri wako
  3. kirisha

    Hatimaye baada ya mangaiko ya muda nauona mwanga

    Sijui hizi ngoja nitafute nione hiyo fursa
  4. kirisha

    Hatimaye baada ya mangaiko ya muda nauona mwanga

    Nimeoa na mke na watoto wawili ila kwa sasa mke wangu yupo mbali na mimi
  5. kirisha

    Hatimaye baada ya mangaiko ya muda nauona mwanga

    Napenda Kumshukuru Mungu naye muamini kwa kunipa zawadi ya uhai na afya tele Mimi ni ndugu yenu hapa jukwaani Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikipambana kutafuta mwanga na kutimiza ndoto zangu Mapema mwaka huu kwenye mwezi wa tatu ndio nilipoona mwanga baada ya kupata biashara ambayo kwa siku...
  6. kirisha

    Kwanini mbuga ya Serengeti haiunufaishi mkoa wa Mara badala yake inainufaisha Arusha

    Mara akuna hotel za maana za kufikia watali hizo hotel walipaswa wajenge watu binafsi na siyo serikali Arusha wazaliwa wa kanda hiyo wamejenga mahotel ya kifahari mara kutonufaika na mbuga sababu ni Wana mara wenyewe na Arusha kunufaika sababu ni wanaarusha kuona fursa
  7. kirisha

    Akufaaye kwa dhiki ndio rafiki. Marekani Imewekeza Trilioni 11, Urusi Imewekeza nini Tanzania?

    Kweli Mimi nikiwa sekondari vitabu vya chemistry biology nyuma vilikuwa vimeandikwa kwa msaada wa watu wa marekani na tulikuwa tunapewa bure
  8. kirisha

    Madeni bado shida kubwa kwangu

    Yani akili imeganda kabisa
Back
Top Bottom