Tatzo lako ni nini? Kote wanatoa elimu bora kwa sababu topic ni zile zile na vitabu ni vile vile.... By the way ukiingia chuo, always mwalimu anakupa 25% na ww unatakiwa kujazia hiyo 75%. Ubora utakuwa kwako kujaza hiyo 75%
Moja kati ya mambo ya kuzingatia katika kujenga ni kuomba kibali cha kujenga na kuangalia ramani za mipango miji maana unaweza kujenga wakakuambia ramani inaonyesha umejenga ndani ya eneo la shule au hospital..... Je aliyejenga alivizingatia hivi?
Pale mbez nakumbuka vizuri walipewa notice ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.