Recent content by kipuri01

  1. K

    Nina ndoto ya kuonana na Raisi yoyote wa nchi nitafanikiwaje?

    Kwa huyu mama kukusaidia sio rahisi ila kama unataka nikukutanishe na mwendazake ni simpo sana, njoo pm tuyajenge
  2. K

    Muuza Madafu: Mimi siyo Mwanajeshi. Natamani kuonana na Kamanda ninayefananishwa naye

    Wabongo kwa kuendekeza porojo, mwanzo mlidai ni TISS, sasa amekuwa JWTZ? Hivi mnadhani wale jamaa ni wajinga kiasi gani, yaani wamfichue mmoja wao kama muuza madafu afu baadae wamuuzishe sura kwa kiwango hicho?
  3. K

    Pesa zetu si salama tena Benki, kuna wizi unafanywa na wafanyakazi

    NMB tawi gani? Mbona unafichaficha taarifa?
  4. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hawa watu sijui kwanini hawataki kukubali hili sio jukwaa la upigaji
  5. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha mambo yako, weka hiyo mikeka hapa hapa, acha kutupotezea mda
  6. K

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni maamuzi magum sana kuibetia Staz
  7. K

    Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

    Hii umejibu kitaalam sana!!! Weka namba yako nitoe sadaka
Back
Top Bottom