Recent content by kipumbwi

  1. K

    Ramaphosa azimiwa kipaza sauti baada ya kukosoa vikali Israel kuhusu vita Gaza

    Ngoja tuone akili za hovyo za kitanzania na unafiki wetu kwenye comments!!
  2. K

    Rais anasikitika wananchi wanafurah hii Ina maana Gani kwa Rais, naomba wakamatwe wote mpaka tuzike ndo watoke rumande

    Rais mwenyewe kaangusha bonge la sherehe na haraiki ya kwenda kuchukua fomu ya kugombea madaraka ilihali Mkuu wa mhimili mstaafu yupo mochwari kutoka kilometers chache na msiba upo kilometers chache, kati ya wananchi na Rais nani kakufuru?!! Kumbuka sherehe ya Rais imekua LIVE kwenye luninga na...
  3. K

    Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Hongera ila sheria ya dini ya kiislamu unamtaka mtu kuwapa haki zao mapema kabisa watoto wa nje ya ndoa!!
  4. K

    Kuku wa Polepole alikula 'punje' nne za ubalozi. Sasa anatapa tapa

    Na kosa la January Makamba ni lipi?!! Na kosa la Kasimu Majaliwa ni lipi?!! Na kosa la Mpango ni lipi?!! Na kosa la Ndugai ni lipi?!!
  5. K

    Oliver Semuguruka 'Twiga' akatwa Kamati Kuu

    Mr Super Black alikua anatindua?!!
  6. K

    Majaliwa aliokua kuitamka "Dakta" Samia Suluhu Hassan

    Wahuni wa Zanzibar wanagawana Tanganyika, Ndugai alilazimishwa ajiuzulu, Mpango nae mapema kabisaa, Katelephone akajitutumua weee, dakika za jioni wakamweka mtu kati!! Boss wa TISS mzenji, Mkurugenzi wa operation Polisi Mzenji, AG mzenji, Waziri wa Mambo ya nje Mzenji, Rais Mzenji, Watanganyika...
  7. K

    Nimetazama interview ya hawa wanafunzi wa Kitanzania nchini Iran nikaelewa jambo

    Wacha niseme upo sahihi, ila hembu nieleze, ilikuaje Shah akapinduliwa na Ayatollah ambao walikua kikundi kidogo tu cha itikadi ya Kali ya kiislamu kisicho na dola wala jeshi?!! Kama walikua na maendeleo kushinda Ulaya,ilikuaje Shah alikua kibaraka wa Uingereza na USA?!! Kama Iran ilikua ja...
  8. K

    Nimetazama interview ya hawa wanafunzi wa Kitanzania nchini Iran nikaelewa jambo

    Iran Ayatollah alimpindua kibaraka Shaha miaka ya 70 mwishoni sisi tukiwa na uhuru miaka 20+ ila mpaka leo kwa maendeleo yao licha ya kupingwa vikwazo kwa miaka 40 hatuwafikii hata robo!!
  9. K

    PreGE2025 Janeth Rithe: Wanawake msimchague tena Rais Samia, haoni dira mbele yake

    Wana vyaka vibaraka kama ACT na CHAUMA, hata huyu Mama atafukuzwa na Zitto maana kaongea ukweli wa boss!!
  10. K

    PreGE2025 Janeth Rithe: Wanawake msimchague tena Rais Samia, haoni dira mbele yake

    Utasikia kapewa kesi ama kavamiwa na wahuni wa watawala na kumbaka na vipigo juu!! Zitto ataambiwa muondoe huyo, anamshambulia mfadhili wa Chama!!
  11. K

    Jinsi Iran ilivyoshusha mvua ya mabomu Tel Aviv na miji jirani kujibu mashambulizi ya Israel ndani ya Iran!!

    Labda watakujibu kua video nilizoweka ni fake!! Nimeweka nyingi makusudi ili wajue kua Iran ni Persian,sio Iraq wala Libya, Iran Yuko tayari kwa vita any time iwe na Israel ama USA mwenyewe, Houthi tu Israel na USA wameshindwa kuidismental,wataweza kwa Iran?!
  12. K

    Jinsi Iran ilivyoshusha mvua ya mabomu Tel Aviv na miji jirani kujibu mashambulizi ya Israel ndani ya Iran!!

    Katafiti maeneo ya kimkakati aliyopiga Iran, kapiga mpaka wizara ya ulinzi, Israel amejenga/kuficha silaha/ majengo muhimu ya kivita kwenye concentration areas kutumia kama Kinga, unajua kua kuna jengo linahifadhi F-35 jets na submarine na Iran kalitwanga lote?!!
  13. K

    Jinsi Iran ilivyoshusha mvua ya mabomu Tel Aviv na miji jirani kujibu mashambulizi ya Israel ndani ya Iran!!

    Iran hajachukua muda mrefu, amejibu mapigo, tusubirie vita kamili kati ya Iran na Israthuku USA akiichagiza Saudia na vibaraka wake wamtulize Iran, safari hii USA atafeli kutumia vibaraka na itambidi aingie front mwenyewe, Houthi na wao nawaona punde wakiungana na Iran kushusha makombora kwa...
Back
Top Bottom