Recent content by KIPONDA JR

  1. K

    DOKEZO Responded Vocha za Mitandao ya simu zadaiwa kupandisha bei kiholela Mbozi

    Hata kijijini kwetu katika mkoa wa Iringa watu wanauziwa vocha kubwa vocha ya sh 500 wanauziwa sh 600 na vocha za sh 1000 wanauziwa sh 1200. Nesikia taarifa kuwa na mwanza hii tabia imeanza kwa baadhi ya wafanya biashara
  2. K

    CCM-Simiyu wakerwa na Mpina kutaka uchunguzi wa kifo cha Magufuli. Wamtaka aache

    Viongozi wa Sasa hivi siyo viongozi kwa sababu wameacha kufanya kazi yao halisi ya uongozi wameingia kujipendekeza, Viongozi wengi wanaangalia matumbo Yao siyo kazi inayo paswa wafanye, Sasa na huku wilaya ya ilemela mbunge hajawahi kuonekana na lenyewe ni tatizo la mpina.? Mfumo wao kama ccm ni...
  3. K

    Mke anamnyima mumewe tendo la ndoa, nini kifanyike?

    Aoe mwanamke mwingine wanawake wengi namna hiyo anasumbuka na mwanamke, .Wanaume tuna mambo mengi haipaswi kusumbuliwa na mwanamke
  4. K

    Ungetamani kusikia collabo ya wasanii gani?

    Diamond vs alikiba Aikiba vs harmonize . harmonize vs diamond
  5. K

    Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)

    Haiwezekani Yanga yenye Viongozi Bora, makini , kuliko viongozi wote duniani kufungiwa kisa kuto mweka mchezaji kwenye mfumo
Back
Top Bottom