Jamani naomba umnipe updates za asubuh kuhusu uwasilishwaj wa rasimu ya katibu. Vipi warioba ametiliamkazo kweye yap? Plz help me friends.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Jaman mnakosea, cdm haitishi iringa mjin pekee bali ni tz nzima wanaielewa, sema ccm wanaona aibu kutukabidhi net iliyotobokatoboka, na tuna waambia tutaishona kwa meno na kwa kanuni za majembe 4rom cdm.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Chama ni cha wanachama, na c cha mtu binafsi, sisi ndo wadau ww mpitanjia, so umbea na upashukuna kapige na dada zako, tuachie wenye chama tuishike dola hapo 2015
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Msukule ni ww na familia yako msiojielewa, Eti na ww ni great thinkern hahaaaa labda great thinker wa misukule. Bt cdm itabak kuwa cdm, na cdm c chama cha mtei ww nyau, bali ni chama cha wananchi wote wa tanzania, na ndo chama tawala. Km haujui hilo kanye
Sent from my BlackBerry 9300 using...
Jaman mashine za kutoleo photocopy za bungen zimefanyeje wadau? Coz nashindwa kuwaelewa, au rim papers hamna?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Jaman kificho mme mpa kaz kubwa sn, mwambien huku c zanzibar, huku ni bara, huku ubabe tu, labda angemuuliza mama kwanza ampe dondoo kidogo jins yy mwnyw anavyotokaga jasho.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.