Recent content by kipochi

  1. K

    huyu mwanaume hana aibu lo!

    mh! kweli hii ni haki sawa.
  2. K

    Bishanga mashaija,Waridi na Aisha wa Mambo hayo!!

    waridi yupo dar,ameokoka sasa na anasali kawe,kanisa la ufufuo na uzima kwa askofu josephat gwajima.
  3. K

    Zamaradi Mketema na Ray C warushiana maneno Instagram kisa ni penzi la Ruge!

    zamaradi ni mtangazi wa clouds tv an radio, ray c ni msanii wa mziki, ruge ni bosi pale clouds.
  4. K

    Naomba mnijuze hili especial wadada na wamama

    mh! hadi kupiga! ndio naskia leo.
  5. K

    Natamani kuolewa na mzungu!!!!!!!!!!!!!

    heaven on hearth umejaribu kuwasiliana na Mange Kimambi?anaweza kukusaidia hitaji lako.
  6. K

    ivi mahusiano bila 'SEX' yanaeza dumu kwa mda mref!????

    inawezekana sana tu.hakuna kinachoshindikana chini ya jua.
  7. K

    Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

    mnaoishi mkoa wa Shinyanga mkae mkao wa kula,majeshi yanahamia huko.
  8. K

    Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

    haya mama/baba nimekuelewa
  9. K

    Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

    i knw mpendwa,but hiyo ilikua ninjia yafikisha ujumbe tu ndugu.
  10. K

    Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

    hahahah,we acha tu,sijui tulichenganaje!leo ulikuwepo?kesho twende.
  11. K

    Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

    nikustue sangapi?utakua online?
  12. K

    Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

    usijali ntawajulisha,leo tumeombewa wadada na wakaka ambao hatujaolewa mapepo yamelipukaje!soon tunaenda kupiga vigelegele,mwaka hauishi.nimewaombea wakaka na wadada wa jf pia.
  13. K

    Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

    chakula cha jana kilikua kitamu sana,yan leo nitajitahidi kuwahi sana
Back
Top Bottom