huyu mwanaume hana aibu lo!

huyu mwanaume hana aibu lo!

mshua umesema, issue sio kuomba, issue ni kuomba kila wakati. Hata kwa demu, akiomba kila wakati Ana masomo huyo, na hafai

Kila mtu na perception yake lakini ni afadhali kwa demu kuomba kuliko mshkaji kuomba kila wakati nadhani hii sio desturi tangu zamani hayo mengi ya hafai au anafaaa ni personal zaidi.
 
mara ya kwanza aliniaproach nimekaa nae kama mwez mmoja akaanza mizinga ya vocha,mara una elfu kumi ya fasta,unitumie,mara sehemu nilipo nimbal na duka nirushie vocha,nikajua ni kwel amekwama,nikagundua nimchezo wake,hajawah kunipa ata sh.mia,nilichofanya nilikata mawasiliano ghafla ad akashangaa,akipiga cm cpokei,wala cjibu sms zake,mwaka miezi imeisha,majuz,nimeonana nae,akanambia anashangaa nimemchunia, baada ya cku 2 ananitext,baby sory,niko home ninashida na vocha cwezi kutoka kuna mvua kubwa,

Huyo ndio anataka kuthibitisha;
Kuthibitisha Mkutano wa Beijing;
Chini ya Uenyekiti wa GETRUDE MONGELA
Pale wanawake walipotaka kuwakalia wanaume kichwani
Naona yoelisahe yamemshinda ya Beijing.
Jamani Wanawake Beijing Kubaya
Ni kubaya kukataeni kwa nguvu zenu zote

Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom