Recent content by kipendaurembo

  1. K

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Sitta, Mwakyembe wabadilishiwa Wizara

    by now hata kama raisi ni msela vipi ntampigia kura ila tu asiwe sisiemu
  2. K

    Mwenzenu nimetoa penzi kwa shemeji yangu bila kutongozwa, imeniuma sana

    kilichobaki balimi uje utupe mrejesho lini tena utagegedwa
  3. K

    Mwenzenu nimetoa penzi kwa shemeji yangu bila kutongozwa, imeniuma sana

    so pamoja na uzee wako wote huna experience na ss vipenda warembo? acha kujidekeza kwa kila aliyembele yako basi
  4. K

    Mwenzenu nimetoa penzi kwa shemeji yangu bila kutongozwa, imeniuma sana

    chezea joka kwanini asikudonoe? utakubaliana na mimi kuwa shule za seminari zinawatenga saana mabint na wanaume na kuwachunga juu na hiyo kumbe kwa mabint wengine huwa wanasaidika coz mwanaume cio wa kumzoeazoea na unajua mmenona
  5. K

    Mwenzenu nimetoa penzi kwa shemeji yangu bila kutongozwa, imeniuma sana

    unamshauri atafute wake ...ok nice...but aanze kwanza na hili--- a) aache tabia/pepo la ngono kwanza ili .(it is a war) b) when she comes to the sexual issues of stop thinking men are just like women..
  6. K

    Mwenzenu nimetoa penzi kwa shemeji yangu bila kutongozwa, imeniuma sana

    we unafikiri mtu atakwambia uwahi kwenda kwenu km wewe hujikadirii tm table zako mwenyewe .?
  7. K

    Mwenzenu nimetoa penzi kwa shemeji yangu bila kutongozwa, imeniuma sana

    1.shemeji yako alikuwa anajua anachokifanya kubali ukatae 2.inakuwa ngumu kukubali kwamba ulikuwa hujui nini kitatoke mwishowe...we ni mtu mzima na si mtoto wa miaka 7 kusema usimamiwe hata 3.nikuulize.... "imajini unammeo kisha rafiki wa mmeo/ shemeji kisha akatumia same trick mwishowe akala...
  8. K

    Prof. Anna Tibaijuka atolea Ufafanuzi sakata la Escrow, agoma Kujiuzulu

    ataitisha sana vyombo vya habari na kuvinunua........but mbona wengine hawajisafishi???????????
  9. K

    Nani haswa anapaswa kuitwa na kutambuliwa kama "Genius"?

    hi obsarvation yako ni kweli mkuu
  10. K

    Ushauri jamani

    Duuh !!!! unamshauri atafute mume wa mtu......... Yaani awe japo si lazima "chanzo cha kuvunjika ndoa ingine" Ok tuseme atafute mume wa mtu na uyo mwenye mme unamfikiriaje?
  11. K

    Tujihadhari na ugonjwa wa ebola

    Yani sirikali yenyewe huwa ina tuvitu twake yenyewe ambapo hiwa bize nato..mi naonaga tu
  12. K

    Natregen- dawa ya vidonda vya tumbo

    Mkuu ulikuwa unasaga karrot ngapi kwa grasi ya asubuhi na ngapi ile ya usiku? Msaada tafadhari mkuu. Asubuhi njema.
  13. K

    Natregen- dawa ya vidonda vya tumbo

    Mkuu hizo zinatumikaje izo ebu nihakikishie
  14. K

    Natregen- dawa ya vidonda vya tumbo

    Nimeksoma vizuri ndugu.. Duh! Km mm hili tatizo ni tangu january 2003 saa nami nikijaribu sijui ntarudi na story gani apa jf , vikinizidi ntajaribu haina jinsi.. Lkn pia ulisema ulipata nafuu kwa njia ingine isiyo gharama. Msaada tafadhari. Asubuhi njema
  15. K

    Natregen- dawa ya vidonda vya tumbo

    Ndugu mm pia ninatatizo hilohilo.. Kwani hiyo dose ulianza kutumia lini maana naona km ulitoa maada lkn now unadhibitisha ufeki wa da apa nilikuwa na plani niitafute iyo dawa.. Tafadhari msaada wa mawazo
Back
Top Bottom