Hakuna anayesomea kazi, Tunasoma fanii,
Hakuna watu wamesoma PSPA na wamefanya mambo mengine mbali na walichofundishwa??
Magufuli alikuwa mwalimu, alikuwa Rais wako, Zitto ni mwana uchumi Leo ni mwana siasa,
Anyway, ushauri nilioomba sio ulichokiandika hapa,
N.B ITS BETTER TO DO WHAT YOU...