Recent content by Kipempe

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kukata rufaa Bodi ya Mikopo

    Wew ni chuo ganii, Wanafunzi wa UDSM kupitia admission letter wamepewa kabisa reg no, maybe kama sio UDSM
  2. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji kuappeal mwaka huu HESLB na sijafanya usajili bado na kwenye appeal form wanahitaj reg no, nafanyaje hapo?

    Ushafatilia ukajua kwamba kwanimi wanafunzi wote wa IAA campus ya dar Hawajapata mkopo?? Nadhani fatilia hilo kwanza, Na kama upo Arusha fatilia ujue kama kuna watu wamepata mkopo
  3. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI WAKUBWA,

    Sawa mkuu
  4. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI WAKUBWA,

    Hana cha maana alichoandika, Maswali aliyoyauliza hayana maana yoyote kama unafahamu nini maana ya elimu na lengo la elimu,
  5. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI WAKUBWA,

    Hakuna anayesomea kazi, Tunasoma fanii, Hakuna watu wamesoma PSPA na wamefanya mambo mengine mbali na walichofundishwa?? Magufuli alikuwa mwalimu, alikuwa Rais wako, Zitto ni mwana uchumi Leo ni mwana siasa, Anyway, ushauri nilioomba sio ulichokiandika hapa, N.B ITS BETTER TO DO WHAT YOU...
  6. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI WAKUBWA,

    Nashukuru sana mkuu, Kwenye suala la ufaulu unalipiw ada nimelisikia Mara kadhaa naomba ufaganuzi kidogo kama hutajali
  7. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI WAKUBWA,

    Shida ipo kwenye usajili ambapo wanataka nusu ya ada ya semister ilipwe, ambayo ni laki NNE na nusu, nikifanya utaratibu huo naweza kusajiliwa?? Yan ela nyingine ya usajili ikatwe kwenye boom
  8. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI WAKUBWA,

    Kiaje mzee
  9. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI WAKUBWA,

    Meals and accomodation 2099500 Tuition fee ni 400500 tu
  10. K

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI WAKUBWA,

    Wakubwa, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2021, Nilichaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar Es salaam, katika shahada ya kwanza ya POLITICAL SCIENCE AND PUBLIC ADMINISTRATION, Ambayo ada yake ni Tsh 1.3 milion, Kama mnavyojua maajabu ya mwaka huu wa...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Tuliotoka jkt kwa mujibu wa sheria 2021 OP SAMIA SULUH HASAN uzi wetu huu

    Nawasalimu kwa jina LA JMT Kama ilivyo kawaida kwa nchi yetu. ya Tanzania baada ya kumaliza kidato cha sits wahitimu hao wakike na wakiume hutakiwa kwenda kujifunza mafunzo mbalimbali yanayofahamika kama mafunzo ya JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA MUJIBU WA SHERIA, Kama kawaida mwishoni mwa mwezi...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Huyo anaitwa Djigui Diara, kuna mwenye swali!

    Kwani ITC yake ilifika huyu? Alistahili kucheza kweli? Siamini nasubiri kamati ya masaa78
  13. K

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    . Ndo allocation ya mkopo wanatoa sio?
Back
Top Bottom