Watanzania siku hizi Wala hayo hayatuhusu, si tuna focus na yetu, hii nchi si yenu bana, tozo zetu,kikokotoo chetu, ukosefu wa ajira wetu, maisha magumu yetu. Nyie endeleeni kula Bata sisi tupambane na yetu. Kila mtu ashinde mechi yake.
Ndugu wanajamvi wenzangu mabibi na mabwana natumai mu wazima. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naomba kufahamu Kuna siri gani imejificha kwenye mwenge.
Wiki iliyopita kulikuwa na shamra shamra za mapokezi ya mwenge wa uhuru eneo nililopo. Sasa mimi nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.