Yani wewe ni mbaguzi na mdini mkubwa kama kaka zako mbowe na slaa, eti cdm viti 100 bara na cuf wadominet visiwani kwani uku bara cuf hakuna? Mbona ampangi kuwasaidia wakapata majimbo hamsini pia? Au ndo mnawafanya cuf majuha wenu? Ama kweli kusoma peke yake sio msingi imara maana lipumba...
Mpango wa mungu unaweza kuingia kwa mafisadi wa mali za chama na wazinifu na wezi wa wake za watu? Ww naona umerfgwa uo ni mpango wa shetani ndio mana wanawaachisha vikao vya bunge na kuwapeka dubai kuwazini
Iv unafikiri cdm kuna baraza la vijana pale? Pale kuna baraza la vichaa ndiko walikotoka akina sugu kichwa kikubwa ndani ziro, m kiti wao wa taifa form six ziro, katibu wao dk wa mapenz je unatarajia nn? Mwiguru unguruma baba mwiguru simba mkubwa
Cdm acheni woga mmesahau ata mbowe na slaa walitoka ccm na walianza kushambulia pia ccm ndo wakaingia kwa vyama vingine, waache akina mkumbo na mwigamba na zito waanze kuwanyosha kwanza nyie ndugu zao kisha wataendelea na vingine tulieni kama mnanyolewa vile
Hakuna ukawa wa cdm ambao wana watu wa kua viongozi wa nchi, viongozi wako ccm pekee ndio mana kila kukicha wananchi wanajiuliza ni lowasa, membe, makamba, wasira au sita? Maana wana imani na chama chao na watu wao makini, wajiulize kutoka cdm kuna nani? Labla chifu maliale wa machame aamke upya...
Wasafi watoke wap? Wabaguzi na wahafidhina tu hao, wanavaa ngozi ya kondoo kumbe rohoni chui wakubwa wa siasa za upinzani, mbowe na slaa ni wauaji wakubwa wa demokrasia mbona awajatuambia fedha walizochukua kwa nimrod mkono wamezipeleka wap? Wajitokeze watuambie basi au ndo wameshamalizwa na...
Mm nashangaa kumuona slaa akijipambanua mbele ya watu na kujiona mtu makini na msafi looo bado siamini ni yule aliogombana na dereva wake kule karatu kwa ajili ya diwani wa kiti maalum? Ni yule aliefuatwa makao makuu saa 5 usiku na majamvia kisa mke wa mtu? Mwalim alituasa kua kupata kazi ya...
Cdm nacho chamaa kajisacos tu ka watu wa machame na familia yao, anaejiangaisha juu ya cdm ambae atoki uko ni kama kalai vile maana likimaliza kujenga ghorofa linatupwa store maana linachafua nyumba na kuchuna rangi
Hiyo ndio siasa ktk siasa hakuna rafiki wa kweli wala adui wa kudumu ata mbowe aliowaita mashaga, ccm b, ndio hao hao sasa anawaona wa maana na kukaa nao pamoja, sasa shoga au ccm c ni nani? Yeye au alioungananao? Mm naona wote mashoga watupu wanasubili kushughulikiwa na ccm nginja nginja
Ukawa umeibuka dodoma na kuanza mikutano zanzibar, swali langu je vyama vyao vilikaa vikao gani kuizinisha muungano wa ukawa? Maana sijasikia baraza kuu la cuf, cdm wala nccr je muungano una baraka za nani? Na kwa maslai ya nani? Nyie wanachama wa vyama hivyo munautambua uhuni huu? Nawasilisha
Mwigulu anataka maendeleo ndio mana anakua mkali ktk suala zima la maendeleo, sio nyinyi cdm mnaochangisha pesa ktk mikutano yenu kisha mbowe anazila peke yake mpaka ameshitakiwa kwa msijijli kwa ufisadi wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.