Recent content by kiongozi mau

  1. K

    Nimekata tamaa kuona chama chetu kikiendelea kutawala: Kwa heri CCM

    Ww unafananisha kifo na usingizi, ukawa wamepigwa 2 bila wanasubili kumaliziwa la 3 mchezo umalizike ccm kigumu kuondoka madarakani mr
  2. K

    Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

    Sio lema ni sera ya mbowe hiyo maana lema awapiga arusha mbowe anawapiga ndani ya kamati kuu kama alivyompiga shabani mambo wa kigoma
  3. K

    2015: Upinzani lazima upate wabunge 130 ili kulitawala bunge

    Yani wewe ni mbaguzi na mdini mkubwa kama kaka zako mbowe na slaa, eti cdm viti 100 bara na cuf wadominet visiwani kwani uku bara cuf hakuna? Mbona ampangi kuwasaidia wakapata majimbo hamsini pia? Au ndo mnawafanya cuf majuha wenu? Ama kweli kusoma peke yake sio msingi imara maana lipumba...
  4. K

    Upendo Peneza: Nahitaji kushinda na nitashinda

    Kwa cdm dada usubili pombe na kugongwa kama wenzako wanaopelekwa dubai na kuwaacha waume zao moshi, ila sio siasa kama unavyofikilia
  5. K

    Mh. Halima Mdee na Mwakyembe kuunguruma kesho Temeke kata ya Keko

    Lazima aseme kisimame kwa kua hakikuwepo kabisa baada ya kumteka na kutaka kumuua yule kijana msema kweli
  6. K

    CCM/ACT-Tanzania yatoa dau mil 30 madiwani wasirudi CHADEMA

    Mpango wa mungu unaweza kuingia kwa mafisadi wa mali za chama na wazinifu na wezi wa wake za watu? Ww naona umerfgwa uo ni mpango wa shetani ndio mana wanawaachisha vikao vya bunge na kuwapeka dubai kuwazini
  7. K

    TBC LIVE: Matangazo ya moja kwa moja ya CCM Mwanza

    Iv unafikiri cdm kuna baraza la vijana pale? Pale kuna baraza la vichaa ndiko walikotoka akina sugu kichwa kikubwa ndani ziro, m kiti wao wa taifa form six ziro, katibu wao dk wa mapenz je unatarajia nn? Mwiguru unguruma baba mwiguru simba mkubwa
  8. K

    Mkutano ACT Kigoma Ni Aibu Tupu

    Cdm acheni woga mmesahau ata mbowe na slaa walitoka ccm na walianza kushambulia pia ccm ndo wakaingia kwa vyama vingine, waache akina mkumbo na mwigamba na zito waanze kuwanyosha kwanza nyie ndugu zao kisha wataendelea na vingine tulieni kama mnanyolewa vile
  9. K

    GE2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

    Hakuna ukawa wa cdm ambao wana watu wa kua viongozi wa nchi, viongozi wako ccm pekee ndio mana kila kukicha wananchi wanajiuliza ni lowasa, membe, makamba, wasira au sita? Maana wana imani na chama chao na watu wao makini, wajiulize kutoka cdm kuna nani? Labla chifu maliale wa machame aamke upya...
  10. K

    Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Magharibi abwaga manyanga, ajiunga ACT

    Wasafi watoke wap? Wabaguzi na wahafidhina tu hao, wanavaa ngozi ya kondoo kumbe rohoni chui wakubwa wa siasa za upinzani, mbowe na slaa ni wauaji wakubwa wa demokrasia mbona awajatuambia fedha walizochukua kwa nimrod mkono wamezipeleka wap? Wajitokeze watuambie basi au ndo wameshamalizwa na...
  11. K

    Yaliyojiri Mkutano wa Dr. Slaa na waandishi wa Habari - Makao Makuu CHADEMA

    Mm nashangaa kumuona slaa akijipambanua mbele ya watu na kujiona mtu makini na msafi looo bado siamini ni yule aliogombana na dereva wake kule karatu kwa ajili ya diwani wa kiti maalum? Ni yule aliefuatwa makao makuu saa 5 usiku na majamvia kisa mke wa mtu? Mwalim alituasa kua kupata kazi ya...
  12. K

    Kashindye, aliyekuwa mgombea ubunge Igunga adaiwa kuitosa CHADEMA

    Cdm nacho chamaa kajisacos tu ka watu wa machame na familia yao, anaejiangaisha juu ya cdm ambae atoki uko ni kama kalai vile maana likimaliza kujenga ghorofa linatupwa store maana linachafua nyumba na kuchuna rangi
  13. K

    Mwigamba: Nakuhurumia Zitto Kabwe

    Hiyo ndio siasa ktk siasa hakuna rafiki wa kweli wala adui wa kudumu ata mbowe aliowaita mashaga, ccm b, ndio hao hao sasa anawaona wa maana na kukaa nao pamoja, sasa shoga au ccm c ni nani? Yeye au alioungananao? Mm naona wote mashoga watupu wanasubili kushughulikiwa na ccm nginja nginja
  14. K

    Ukawa na tatizo la katiba ya vyama vyao

    Ukawa umeibuka dodoma na kuanza mikutano zanzibar, swali langu je vyama vyao vilikaa vikao gani kuizinisha muungano wa ukawa? Maana sijasikia baraza kuu la cuf, cdm wala nccr je muungano una baraka za nani? Na kwa maslai ya nani? Nyie wanachama wa vyama hivyo munautambua uhuni huu? Nawasilisha
  15. K

    Mwigulu aanza tena kubambikizia kesi viongozi wa CHADEMA

    Mwigulu anataka maendeleo ndio mana anakua mkali ktk suala zima la maendeleo, sio nyinyi cdm mnaochangisha pesa ktk mikutano yenu kisha mbowe anazila peke yake mpaka ameshitakiwa kwa msijijli kwa ufisadi wake
Back
Top Bottom