Recent content by kinywele ki1

  1. K

    Soko la kuuzia nyanya kwa Dar es Salaam

    Bado najifunza kilimo Cha nyanya sijaanza ramsi maana napata ozoefu kwanza kwenye nafasi ndogo kabla sijaanza heka moja
  2. K

    Soko la kuuzia nyanya kwa Dar es Salaam

    Mashamba ya kukodi zinga nikama hakuna, huku kuna mradi wa epz kwa hiyo viwanja vimepanda sana
  3. K

    Soko la kuuzia nyanya kwa Dar es Salaam

    Mkuu huku zinga sas kumekua mji Sis tulinunua miaka ya 80 sas hv Hekamoja zinga moja ni zaidi ya mil 5
  4. K

    Naweza kuvuna nyanya kabla hazijaiva?

    Kwema wakuu Je, ninaweza kuvuna nyanya kabla hazijaiva? Ili nipeleke sokoni zisiharibike, na zinachukua muda gani hadi kuiva zikiwa nje, ningependa kujua jinsi ya kuhifadhi.
  5. K

    Soko la kuuzia nyanya kwa Dar es Salaam

    Habari wakuu, bei ya nyanya Tenga moja kiasi gani Sasa hivi DSM
  6. K

    Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

    Hana lakueleza huyo
  7. K

    TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

    Kweli dada huyo ni mchawi hajajijua tu
  8. K

    Lipo wapi Soko la kuku wa kisasa DSM

    Nataka nianze kufuga kuku hawa wa kisasa wa mwezi mmoja, soko nitalipata wapi niwe nauza kwa jumla. Nataka nianze na kuku 200 kwanza. Kuna mtu aliniambia Shekilango, sasa anaejua utaratibu wa Shekilango tafadhali aniambie.
Back
Top Bottom