Minyumbu humu haitaelewa kitu,minyumbu inaona Ni uonevu na vitisho ,minyumbu inamwamini mange kimambi huyo bidada akisema akisema anataka wamunyonye Nani hiiii nyumbu watakubali tu,pole yao Kama na hili la meli wanalipinga
Mzumbe sec.miaka ya 1985 tulikuwa na James kasasi(ngwema),mwalimu wa nidhamu TIBIKUNDA(kichwa) usiombe siku akionekana hadharani kwenye rally call ,tumbo linaanza kuunguruma lenyewe unaweza kwenda kuharisha bila kuumwa na tumbo hata Kama hunakosa siku hiyo akionekana amani inatoweka...
Huyo kakobe anainjiri gani ,au na wewe Ni mlokole wa kakobe Bora niwe kilaza lakini siwezi kuwa popoma wa kakobe Kama wewe ulivyo,Mimi nilitegemea ukomment kitu substantial Kumbe unaleta vapour na ubishi wa kilokole hapa,ukisema nyeupe kwake Ni nyeupe Ni unafiki,anamadhambi mangambi aliyofanya...
Ndo maana nimeachana na kanisa la kakobe,huyu mchungaji haeleweki anachangaya siasa na dini ,akagombee cheo kwenye ukawa tujue moja,Sasa hivi huyu sio popo Wala sio ndege
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.