Unless you want to quote me out of the context, I've appropriately used that word to suit my desired intention.You know nothing about RETRIBUTION, siku ukijua alichofanya mpaka akatwangwa risasi ndo utapata akili ya kuwa huyo jamaa sio shujaa kama mnavyodhani.Endeleeni kumpa kichwa mitandaoni.
Pili, tueleze sheria za nchi zinasemaje kuhusu mtu anayedaiwa kuvunja sheria, je anatumiwa watu kumuua au anapelekwa mahakamani.
Tatu, kama serikali yanyewe haiwezi kuheshimu sheria sasa itakuwaje na moral obligation to enforce the law? Answer please.