Mwe
Mwenyewe niliwaona Katavi yaani watu Wana pokezana madem kwenye mapori wakezao mixer nadada yanayotoka mjini kwenda kujikodisha huko msimu wamavuno ya mpunga.
Kiukweli nimeanza kuishi kwenye upangaji mwaka 2017
Sijawahi daiwa Kodi namwenye nyumba naninachofanyaga nikumtafta mwenyenyumba nakumpa pesa yake
Kuna ngwamba Moja hapa nimpangaji mwenzangu daah jamaa anatamani siji kuishi Bure maana kheee.....
Daah umenikumbusha kipindi kimoja 2020-2021 nili ishi katavi wilaya ya mlele
Aisee huko Kuna radi nibalaaaa
Mvua kidogotu radi Zina miminika kama upepo...!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.