Recent content by Kinyonyok

  1. K

    Shida zilipokubana uliwahi kuuza kitu gani kwa bei ya hasara ili ujinasue?

    Hiyo kesi nazani ilikua yakutia mimba mwanafunzi🤔
  2. K

    Msaada: Jirani yangu ni mbabe na msumbufu

    Huo mkasa wako nikama wangu japo misijajenga ukuta yaani mwamba nimusumbufu hadi nishafikilia kutoa hera nimroge.
  3. K

    Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

    Mwe Mwenyewe niliwaona Katavi yaani watu Wana pokezana madem kwenye mapori wakezao mixer nadada yanayotoka mjini kwenda kujikodisha huko msimu wamavuno ya mpunga.
  4. K

    Mbinu zitumikazo kuiba hela benki

    Rest In peace 🖐️
  5. K

    Wenye nyumba tujadili changamoto za baadhi ya wapangaji

    Kiukweli nimeanza kuishi kwenye upangaji mwaka 2017 Sijawahi daiwa Kodi namwenye nyumba naninachofanyaga nikumtafta mwenyenyumba nakumpa pesa yake Kuna ngwamba Moja hapa nimpangaji mwenzangu daah jamaa anatamani siji kuishi Bure maana kheee.....
  6. K

    Radi iliyopiga juzi Dar imeacha hasara ya kutosha

    Daah umenikumbusha kipindi kimoja 2020-2021 nili ishi katavi wilaya ya mlele Aisee huko Kuna radi nibalaaaa Mvua kidogotu radi Zina miminika kama upepo...!!
  7. K

    Msaada

    Mmmmh Kwa uandishi huuu.... Haaya bhana.
  8. K

    Mbadala au plan B ni muhimu kwenye maisha

    Mawazo ya magume gume kama hivi yapuuzwe...
  9. K

    Miaka 3 ya kifo cha Magufuli: Haya ndiyo mabaya yake katika utawala wake

    Itoshe kusema wewe nimpotoshaji na mchochezi ulistahili zawadi yapingu
  10. K

    Usimuazime simu yako mtu usiyemfaham vizuri, Itakugharimu

    Aisee hiyo kitu imetokea kwangu tarehe7 mwezi huu Almanusra nikalazwe kituo chapolisi bahati nzuri polisi wanakuja wakanikuta nipo job Daah ikabidi waniteme nakunipa maelekezo yakesho niende kuripoti kuandika maelezo.
Back
Top Bottom