Msaada

CRISTA

Member
Aug 5, 2012
80
38
Habari wana JF;nilikuwa nina mpenzi wangu ni mwaka sasa ambaye yeye amesomea community dev. na nimesomea ada.kipindi tunaanza mahusiano ndio alikuwa ametoka fresh from chuo na kupata kazi karibu na ninapofanyia kazi;
Sasa cha ajabu toka tulipoanza uhusiano nilimsoma kuwa ni mtu kuuchukia chukia bila sababu za msingi,mbinafsi lakini pia amekuwa akitaka usawa sana hata katka kupika na kufua.kazi zote hizi anataka tufanye sawa. mfano;kama anapika ugali ananiambia nichambue mboga.kuna kpindi tulikorofishana tukaachana na nilipata fursa ya kumwambia yote niliyokuwa cyapendi kwake basi akaniomba msamaha cana mwezi uliopita nikarudiana nae.ni kweli kwa sasa amejirekebisha;Ila wasiwasi wangu huyu ni kwamba amejirekebisha au kwa kuwa anahtaji kuolewa na baadae afungue makucha?USHAURI WENU JAMANI
 
Mmmhhh kumsaidia kazi si vibaya lakn isiwe amri na lazima japokuwa wanawake wa sasa wanataka haki sawa ila be carefully inawezekana anataka ndoa then arudie zile mambo zake za kukulazimisha kupika kufua nk
 
Kazi kweli kweli.

Mnaishi wote? Kama hamuishi wote inakuaje kufuliana nk?

Halafu msifanye maisha kuwa magumu zichangeni mnunue washing machine dish washer nk maana ukweli ni kua utafua sana na utapika ugali mno tu
 
kazi kweli kweli.

Mnaishi wote? Kama hamuishi wote inakuaje kufuliana nk?

Halafu msifanye maisha kuwa magumu zichangeni mnunue washing machine dish washer nk maana ukweli ni kua utafua sana na utapika ugali mno tu

hapana mara nyingi nakutana nae week end akija kwangu
 
Habari wana JF;nilikuwa nina mpenzi wangu ni mwaka sasa ambaye yeye amesomea community dev. na nimesomea ada.kipindi tunaanza mahusiano ndio alikuwa ametoka fresh from chuo na kupata kazi karibu na ninapofanyia kazi;
Sasa cha ajabu toka tulipoanza uhusiano nilimsoma kuwa ni mtu kuuchukia chukia bila sababu za msingi,mbinafsi lakini pia amekuwa akitaka usawa sana hata katka kupika na kufua.kazi zote hizi anataka tufanye sawa. mfano;kama anapika ugali ananiambia nichambue mboga.kuna kpindi tulikorofishana tukaachana na nilipata fursa ya kumwambia yote niliyokuwa cyapendi kwake basi akaniomba msamaha cana mwezi uliopita nikarudiana nae.ni kweli kwa sasa amejirekebisha;Ila wasiwasi wangu huyu ni kwamba amejirekebisha au kwa kuwa anahtaji kuolewa na baadae afungue makucha?USHAURI WENU JAMANI

kwa huyo hata kufaa kwa style ya maisha unayoitaka aidha badilike na wewe ukubali kunyenyekea itakapobidi huko mbele(mgumu sana yategemea malezi yako) au tafuta atakae kuwa chini kwani kwa kila hali BORA zaidi, lakini kumbuka kila style ina pros and cons .......
 
Kiukweli maisha ya kusaidiana yapo ila c kawaida kwetu sisi wanaume wa kiafrika kufanya kwa usawa kama anavyotaka demu wako.kila mtu anapotaka kumuoa mwanamke ana vipimo vyake vya kumuona mwanamke anaemfaa ktk maisha yake kwahiyo jibu utakuwa nalo mwenyewe kama anakufaa ama hakufai
 
Kazi kweli kweli.

Mnaishi wote? Kama hamuishi wote inakuaje kufuliana nk?

Halafu msifanye maisha kuwa magumu zichangeni mnunue washing machine dish washer nk maana ukweli ni kua utafua sana na utapika ugali mno tu

we unafikiri wakinunua mashine ndiyo kazi za ndani zitakwisha?!!!
kifupi tu ni kwamba huyo mwanamke ni msumbufu atamsumbua tu, hata amletee wasaidizi wanne ndani atamwambia wapange zamu ya kutandika kitanda! Mlke utamjua tu, huyo si mke ni ndoano na asipoangalia itamnasa!
 
kaa nae kwa muda labda anaweza shindwa kuyaficha na ukamuelewa
 
this thread i read 10 yrs ago when i wqs in form two unfortunatelly i didnt coment but now god is good i coment here what a wonderfully day to the one who wakeup this thread
 
Back
Top Bottom