uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,892
- 38,586
Sio mifumo yote
Tunaongelea Bank Mbwiga wewe, nani anaongelea mfumo wa uzazi na vizazi?
Sio mifumo yote
Umesema mifumo hujasema mifumo ipi ndio nmekwambia ipo mifumo rahisi kuipenya hata hio ya bank wanaodakwa wanakosea procedureTunaongelea Bank Mbwiga wewe, nani anaongelea mfumo wa uzazi na vizazi?
Umesema mifumo hujasema mifumo ipi ndio nmekwambia ipo mifumo rahisi kuipenya hata hio ya bank wanaodakwa wanakosea procedure
Juzi Kuna dogo wa miaka 22 kachukua 13M CRDB una habari? Sasa jiulize kuna wangap ambao wanachukua bila kushtukiwa?Sawa, maana mnapenda ubishi, huyo jamaa kaangalia documentary za wezi wa bank wa 1986, anafikiri kwa sasa unaweza fanya huo ujinga!
Hakuna mwizi wa Bank yeyote anaweza socialize na kusema kwamba anaiba Bank, hakuna hakuna, labda kama wewe ni demu wake.
Wahuni si watu.Tupiako basi kapicha. Si unajuwa tena sisi wakina Thomaso!
Ka nini?Tupiako basi kapicha. Si unajuwa tena sisi wakina Thomaso!
Rest In peace 🖐️Kwahiyo nikiwa na mshumaa tu, najivuta pale CRDB, Natoka don.
Vipi huko mgodini mara?Ka nini?
Kwa sasa niko GGM Ashanti GoldVipi huko mgodini mara?
Aminia kaka najua mambo safi. Nasema hivyo kwasababu ya michango yako humu tangu enzi zile una ID ya mzee flani ana panki la mvi, lisura flani la kutisha limetapakaa matope na mjeda flani special force akipoint bastola.Kwa sasa niko GGM Ashanti Gold
Once succeeded with a BIG sum, just retire for good, ukiendelea na kuwa addicted lazima ukamatwe tu!!Wizi huo unaiba one point ni rahisi kukamatwa na kutafutwa