ukiwa shambani hakikisha umevaa Suti au hata kama Sio suti angalau kidogo mavazi yako yaendane na Heshima yako, pia hakikisha Huchafuki hata kidogo kuanzia mavazi mpaka kwenye viatu, Mfano mzuri nitizameni mimi,, hilo ni somo ambalo nadhani alikuwa akilitoa Mshkaji kwa wakulima wenzie