Recent content by KINYAVAKO

  1. K

    Marekani Yaipa Onyo Iran. Mataifa ya Kiarabu Yaungana na Marekani Kudungua Makombora ya Iran

    Kumbuka Israel hafadhili ugaidi popote duniani,Pia hapiganii kueneza dini yake ya kiyaudi. Irani shida yake anapambana sana kueneza Ushia na pia anawapinga hadi wasuni Hivyo Irani ni tishio si tu kwa Israel hata kwa waarabu wenzake hawamtaki.
  2. K

    Shambulio la Iran; IDF wako vizuri sana kwenye intelijensia

    Irani wa jiandae kuzika viongozi wao wakuu, Hadi Israel anaanzisha mashambulizi kashafanya uchunguzi wa kutosha
  3. K

    Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

    Irani ndiyo mfadhili mkuu wa Hamas, wahouthi, na wa lile kundi la Lebanon kwa hiyo amekuwa tishio la muda mrefu kwa Israel na marekani
  4. K

    Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

    Israel amefanya hesabu zake mapema, Na Irani atapotezwa mapema
  5. K

    Hamas waona Mateka wa moto. Yataka Israel iwapokee, Israel yasema ikae nao tu haina shida nao kwa sasa

    Hamasi wameiba kuku mmoja wamelipa zizi la ng'ombe na bado haitoshi Na hata Iran Hana Masada wowote kama ilivyo dhaniwa awali.
  6. K

    Hakuna nchi iliyotolewa kiuchumi na China, mfano ni Korea Kaskazini Vs Korea Kusini

    Vikwazo kawekewa na nan? Kwanini china asimuwekee vikwazo Korea kusi kama US alivyomfanyia CK
  7. K

    Wanawake pindi mnapokuwa na miaka 17-25 kwanini huwa hamshauriki mkasikia?

    Kwenye umri huu watoto wa kike hisia zinakuwa juu sana kuliko akili
  8. K

    Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Mwl kama kaonewa aende kwenye mamlaka za juu kupinga adhabu hiyo, Tunapo jenga taifa nidhamu ndiyo kila kitu.
  9. K

    Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

    We endelea kujenga boda boda na wahuni watakusaidia kujenga ndoa yako
  10. K

    Wenzangu bao tatu mnapigaje? Mbona mimi moja tu nakinai kupita maelezo!

    Kipimo unayemuhudumia anashiba basi hayo mengine ni show game
  11. K

    Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Kwa miaka yote kongo ilipaswa kuwa na jeshi lake imara kabisa, wakongomani ni watu wastarehe na kujiremba hata raisi wao anaolnekana ni mdhaifu, asiyekuwa na uchungu na kongo ni mhuni
  12. K

    Huyu Chama kagundua Yanga hatuna mzuka naye sasa anataka kuwa anatuchomesha kwa Mikia

    Wapige sana Hao, walijua wamepata mchezaji number wewe ni kachelo
  13. K

    Onesha hiyo bunduki ya kapteni Ibrahimu Traore anayoweka kiunoni akiwa hapa Afrika

    Kuwa against ubepari ni sawa na kusukuma gari ukiwa ndani ya gari. Huyu anajifurahisha Haendi popote
Back
Top Bottom