Wewe si ulikua mfia chama wewe ndani ya miezi miwili umegeuka na kua ukawa kufuata huyo mzee wako na angebaki ccm ungekua bado uko huko. Watu kama nyie sio wapenda mabadiliko ni wapenda watu. Muache DEO apumzike alikopangiwa na mungu. RIP DEO
Ukwaju hayo maneno uliyo bold sijaandika mimi. Wameariri huko kina paw mods sio mimi. Mimi nilikua nimeandika MKE WANGU MAMA WA KAMBO ndo kichwa cha habari kilikua hivyo
Evelyn Salt siombei mabaya katika ndoa yangu na wala sina shaka na mke wangu kwa mapenzi aliyonayo kwetu sote nyumbani. Nilitaka tu kujua kwa wengine kukoje. Ata hivyo nimejifunza kitu kutokana na michango ya wadau
Watu wa officeni wamebadilisha kichwa cha habari sijui kwa nini. Mimi niliandika MKE WANGU MAMA WA KAMBO. na watu wengi walichangia kabla ya kubadilisha bora wangeifunga tu post yote kuliko kuharibu maana yote ya hii topic
Mapenzi ya uongo hayo bana ukishaoa huitaji mambo ya kitoto kama hayo. Sawa Mara moja moja lakini isiwe ni kazi ya mwanamke kila siku. Cha kujiuliza hivi wake zetu huwa hawachoki maana hata mama wa nyumbani bado anakazi nyingi kumzidi aliyeko ofisini
Jamaa umekalili hadi kuvuliwa sox aaahhh taratibu ndugu yangu jiongeze kama kweli umeoa ukimnunulia mkeo nguo nzuri lazima atazivaa tu lakini usipo nunua au kutoa hela za matunzo unataka aweje kama sio kuvaa nguo za Airtel?? Mke anaitaji matunzo wala huta kaa umkinahi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.