Msanii wa vichekesho bwana Steve Nyerere amewataka wasanii wenzake waelewe kuwa ujanja hapa mjini ni nyumba itakayokusitiri mpaka uzeeni na siyo bia na wanawake watakao kutosa na kukukimbia kabisa uzeeni.
Steve ametangaza mtu yoyote ambaye atakufa bila nyumba ni mpuuzi na fala kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.