johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Wameonesha Demokrasia gani iwapo hadi leo wako mahakamani wakibishania ubunge?
Wameleta Maendeleo gani iwapo hadi leo wanatumia kota ya wakazi maskini ya NHC kama Jengo la ofisi za makao makuu yao?
Nawashauri wabadilishe jina
Ni heri wajiite Chama Cha Wanaharakati ( ChaChaWa)
Mungu wa mbinguni awabariki sana
Wameonesha Demokrasia gani iwapo hadi leo wako mahakamani wakibishania ubunge?
Wameleta Maendeleo gani iwapo hadi leo wanatumia kota ya wakazi maskini ya NHC kama Jengo la ofisi za makao makuu yao?
Nawashauri wabadilishe jina
Ni heri wajiite Chama Cha Wanaharakati ( ChaChaWa)
Mungu wa mbinguni awabariki sana