Recent content by KINUBIO

  1. K

    Spika Ndugai aache kupotosha umma kwamba ajira zinatolewa kwa upendeleo wa kikabila na kikanda

    Kama aliyaishi na kuyashuhudia mbona hakuyasema kipindi cha mwendazake? Ndo mjue spika ana ajenda yake iliyojificha nyuma ya hizi ajira
  2. K

    Spika Ndugai aache kupotosha umma kwamba ajira zinatolewa kwa upendeleo wa kikabila na kikanda

    Kwa ratio hiyo sioni tatizo hapo. Kumbuka kanda ya ziwa ndio kanda yenye mikoa mingi na watu wengi kwahivyo ata namba ya wahitimu lazima iwe kubwa kulinganisha na kanda zingine.
  3. K

    Spika Ndugai aache kupotosha umma kwamba ajira zinatolewa kwa upendeleo wa kikabila na kikanda

    Sikatai ukanda ulikuwepo kwenye nafasi za uteuzi lakini kwenye ajira za utumishi wa umma hapakuwepo upendeleo wowote, watu waliajiriwa kwa usawa. Kwa hiyo hoja yako ya ukanda unataka kutuaminisha kwamba ajira zilizopita waliajiriwa wasukuma au watu wa kanda ya ziwa tu?
  4. K

    Spika Ndugai aache kupotosha umma kwamba ajira zinatolewa kwa upendeleo wa kikabila na kikanda

    Yuko sahihi kwakuwa hamjajua lengo lake. Right mngejua dhamira yake kuhusu hizi ajira wala msinge mtetea.
  5. K

    Spika Ndugai aache kupotosha umma kwamba ajira zinatolewa kwa upendeleo wa kikabila na kikanda

    Usahihi wake uko wapi kwa sababu ukichunguza vizuri hoja aliotoa utagundua ana jambo lake analotaka lifanikiwe. Kwa kuthibitisha hilo leo bungeni amekataa wazi wazi walimu wa kike kupewa kipaumbele cha ajira. Maana yake nini kama sio kuwa ana majina yake mfukoni anayotaka yapewe kipaumbele?
  6. K

    Spika Ndugai aache kupotosha umma kwamba ajira zinatolewa kwa upendeleo wa kikabila na kikanda

    Mheshimiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amepotosha umma mchana kweupe kudai ajira za ualimu zilizopita zilitolewa kwa misingi ya kikanda na ukabila kwa sababu ukiachilia mbali jina moja lililojirudia kila ukurasa, mchakato wa ajira zilizopita ulifanyika kwa haki...
  7. K

    Kwanini Serikali inawabagua walimu wenye shahada kwenye ajira?

    Ulichosahau ni kwamba huo uwezo mkubwa walionao walimu wa cheti na diploma unatokana na kunolewa vyema vyuoni na walimu wenye degree
  8. K

    Kwanini Serikali inawabagua walimu wenye shahada kwenye ajira?

    Elimu yetu inahitaji mageuzi makubwa sana ili kuzalisha wataalam watakao tumia usomi wao kuendeleza miradi mikubwa ya nchi na kutumia raslimali zetu wenyewe badala ya kuzitapanya kwenda nje ya nchi. lakini yote haya yatabaki kuwa ndoto kama tutaendelea kukumbatia elimu na ualimu wa cheti ambao...
  9. K

    Kwanini Serikali inawabagua walimu wenye shahada kwenye ajira?

    Haya yalisababishwa na mwendazake lakini kikwete hadi anatoka madarakani aliacha akiwa ameweka mfumo mzuri wa kuajiri walimu wote bila ubaguzi wa kielimu au upendeleo
  10. K

    Naiona Tanzania iliyopoteza muelekeo. Kama ni bichwa la treni limepoteza uelekeo

    Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji. Nyie endeleeni kupiga mayowe mama anapiga kazi na watanzania bila kujari itikadi za vyama vyetu tunamuunga mkono kwa 100%
  11. K

    Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

    Wabongo tabia ya kupenda kujengea kila kitu hoja kuna siku mtakuja kuhoji na ambavyo haviojiki
  12. K

    Ufafanuzi wa kufutwa kwa VRF kwa wanufaika wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, waajiriwa tegemeeni kuongezeka kwa take home

    Hadi tuone matokeo maana ufafanuzi wako unatuacha njia panda. Kwa nijuavyo mimi 6% ya VRF inajitegemea, 1% ya administration fee inajitegemea na 15% inayokatwa kama marejesho ya deni nayo inajitegemea kivyake.
Back
Top Bottom