Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Nawasalimu kwa jina la JMT
Kulikuwa na maswali kadhaa kwamba je Salary itaongezeka baada ya kufutwa kwa tozo ya VRF ya 6% kwa wanufaika wa mikopo ya Elimu ya Juu au hapana.
Jibu ni kwamba take home itaongezeka maana makato ya 15% kwenye mshahara wa mwajiliwa nayo yana mchanganuo wake kwa mujibu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
Kwa mfano kama ana salary yaTsh. 1,000,000 kwa mwezi na alichelewa kuanza kulipa atakatwa 15%=Tshs.150,000/=
Sasa hii 150,000 iko kwenye mchanganuo uliogawanywa kama ifuatavyo;
i) 1% ya Loan admnistratio fee=1,500
ii)6% ya VRF=9,000
iii) TSH.15,000 ambayo ni ADHABU ya kuchelewa kuanza marejesho na
iv)TSHS.139,500/= ndio pesa inayopunguza deni halisi yaani Principal Amount
Kwa hiyo kanuni ndio hiyo hapo na iko applicable kwa kila mtu kulingana na kiwango chake cha mshahara
Kwa mantiki hiyo basi 6% iliyofutwa kwa kutumia mfano huo hapo juu ni TSH.9,000/= ambayo itaongezeka kwenye Take Home ya mhusika.
Kwa hiyo ndugu watumishi ukichukua hiyo VRF iliyofutwa na punguzo la 1% kwenye Kodi ya PAYE bila shaka kuna pesa ya kilo kadhaa za nyama zimeongezeka wengine watapata kiasi hadi cha kukopea.
Technically makato ya 15% ukitoa hiyo 6% na 1% inabaki asilimia 9% ambayo ndio makato halisi na hayo mengine ulikuwa wizi.
Note,Kwa mtu ambae ameanza malipo kwa wakati ile adhabu haimuhusu.
View attachment 1776150View attachment 1776151View attachment 1776152
Kulikuwa na maswali kadhaa kwamba je Salary itaongezeka baada ya kufutwa kwa tozo ya VRF ya 6% kwa wanufaika wa mikopo ya Elimu ya Juu au hapana.
Jibu ni kwamba take home itaongezeka maana makato ya 15% kwenye mshahara wa mwajiliwa nayo yana mchanganuo wake kwa mujibu wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu.
Kwa mfano kama ana salary yaTsh. 1,000,000 kwa mwezi na alichelewa kuanza kulipa atakatwa 15%=Tshs.150,000/=
Sasa hii 150,000 iko kwenye mchanganuo uliogawanywa kama ifuatavyo;
i) 1% ya Loan admnistratio fee=1,500
ii)6% ya VRF=9,000
iii) TSH.15,000 ambayo ni ADHABU ya kuchelewa kuanza marejesho na
iv)TSHS.139,500/= ndio pesa inayopunguza deni halisi yaani Principal Amount
Kwa hiyo kanuni ndio hiyo hapo na iko applicable kwa kila mtu kulingana na kiwango chake cha mshahara
Kwa mantiki hiyo basi 6% iliyofutwa kwa kutumia mfano huo hapo juu ni TSH.9,000/= ambayo itaongezeka kwenye Take Home ya mhusika.
Kwa hiyo ndugu watumishi ukichukua hiyo VRF iliyofutwa na punguzo la 1% kwenye Kodi ya PAYE bila shaka kuna pesa ya kilo kadhaa za nyama zimeongezeka wengine watapata kiasi hadi cha kukopea.
Technically makato ya 15% ukitoa hiyo 6% na 1% inabaki asilimia 9% ambayo ndio makato halisi na hayo mengine ulikuwa wizi.
Note,Kwa mtu ambae ameanza malipo kwa wakati ile adhabu haimuhusu.
View attachment 1776150View attachment 1776151View attachment 1776152