Sisi bili ya mwezi uliopita ilikua 19000 na maji yalikua yanakatika kila siku tena wiki ilipita hatukua na maji lakini wametuma bili 38000 tumesema hatulipi na tunawasubili waje kufunga bomba ndo tujuane vizuri.
Ishia hapo hapoooo! Aiseee mbona mnapenda sanaa uchawa hivo, sifa kwa mama kidogo tu sifa kwa mama.
Sikiliza hizo pongezi anastahili MAGUFURI kwasababu yeye ndo aliyewasha gari hata mabeberu walipokua wanamchimba beat yeye ndo alikula msimamo. Huyu ameendeleza tu ni kama saidia fundi tu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.