Habari wakuu,
Najaribu kuwaza kwa sauti kwa haya mambo yanayoendelea sasa kutoka kwa bwana Polepole sielewi kwa sababu Polepole wewe ulikuwepo utawala wa JPM, kelele za watu kuuawa zilikuwepo, watu wengi walipotea, vyombo vya habari vilidhibitiwa, hatukusikia ukisema chochote. Waliishi kama...